Kwa wadada wa chuo natoa dozi

Kwa wadada wa chuo natoa dozi

KWA MADEMU WA VYUO MKINICHUKIA POA TU.

Watu wanaowajua wakiwaona,wanahisi unampenda kweli,maana mahaba unamuonyesha hadharani,unambusu bila hofu...Watu wanajiuliza kwanini msichana mzuri kama wewe uko na jamaa ambae anaonekana AGE GO AGE WENT,hamfanani kiumri wala kiumbo na ki-wajihi..Kumbe una siri moyoni,humpendi kwa moyo ila kwa sababu ana hela,na wewe ni Mwanafunzi mwenye mahitaji,umeamua kujishikiza kama kifungo cha shati hadi umalize shule...

Mwanaume anajua kapata msomi,umetulia,kumbe mwenzangu una ajenda ya siri...Wanawke wana moyo,una miaka 19 unadate na jamaa lina miaka 47,jasho analotoa lina harufu ya Sikukuu ya uhuru mwaka 1961 ila upo tu kwa ajili ya PESA....Halafu mashosti zako bila haya wanakwambia, 'Msalimie Shem Handsome' huku chinichini wanakucheka...

Wanafunzi wa Kike wa Vyuo Vikuu,mko juu sana,uko radhi umegwe na jamaa bovuuu kisa hela,hata mkipiga picha Photopoint wana-edit wee poda ya Computer,jamaa bado hakolei hadi wanatamani wamwekee Microsoft Excel usoni!.


Kuachwa kubaya...!
 
Mapenzi sio umri; siwalaumu mabinti hao wa vyuoni + mabinti wengine wadogo wanaojirusha na watu wazima; naamini mwanzisha mahusiano / mtongozaji ni mwanaume huyo m2 mzima mwenye akili zake zenye mapungufu, asiyejiheshimu na kufanya mambo ya kikubwa na binti anayelingana na watoto wake wa kuzaa.
 
una umri gani? 50 kwa mjini ni sawa iwapo huyo mwenye 50 yrs anakula vizuri, lakini kama anagonga viloba ni babu huyo

nina 31 yrs,mnajidanganya sana vijana, miaka 50 ni yanki tu tena wanakua na akiri ya kiutu uzima hakuna mambo ya kukimbizana kama nyie vijana.
 
50 si unakuwa na wajukuu tayari?still unafanya mambo ya ajabu
 
nina 31 yrs,mnajidanganya sana vijana, miaka 50 ni yanki tu tena wanakua na akiri ya kiutu uzima hakuna mambo ya kukimbizana kama nyie vijana.

Mi m2 mzima ayanda hata wewe kwangu ni mdogo sana ila umri wako unakuruhusu kuwa na mahusiano na 30's, 40's na50's Tunaowaongelea ni wale under 25's kugegedwa na 50's hiyo ndo kidogo imekaa ndivyo sivyo japo mapenzi hayana umri lakini sometimes ...... inachanganya vile.
 
Hahhaaaaaaaa!
FP, mbona si wazee tunakazi? Kama mzee mwenzangu kawekewa mpaka microsoft excel usoni ili aonekana kijana kidogo, mi si ndiyo ndawekewa Microsoft power point au microsoft word kabisa?

lakini tukirudi kwenye ukweli baadhi ya wadada wa vyuo siku hizi wamejirahisi mno, na ni kweli wako kipesa kama alivyotanabaisha mdau hapo juu. Nidhamu, utu na heshima zao zimeshuka mno na ndiyo maana baadhi yao wamedirikia hata kuanza kuonekana maeneo fulani fulani wakijiuuza! Hebu fikiria msomi anayetarajiwa kuwa injinia au daktari, au mwanasheria au waziri au mkurugenzi nk leo hii kaanza ukahaba, hivi tutakuwa na taifa lenye viongozi wa aina gani miaka ijayo? Tutakuwa na watu wenye utu kweli au tutakuwa na watu viatu?

Wapo viongozi muwaonao leo ambao chupi zilikua zinatembea mkononi, mambo haya hayakuanza leo, siri zao tunazijua sie tuliokuwa tunasoma nao, lakini hayo yalipita. tusiwasakame madent, kwani shetani anazeeka?
 
KWA MADEMU WA VYUO MKINICHUKIA POA TU.

Watu wanaowajua wakiwaona,wanahisi unampenda kweli,maana mahaba unamuonyesha hadharani,unambusu bila hofu...Watu wanajiuliza kwanini msichana mzuri kama wewe uko na jamaa ambae anaonekana AGE GO AGE WENT,hamfanani kiumri wala kiumbo na ki-wajihi..Kumbe una siri moyoni,humpendi kwa moyo ila kwa sababu ana hela,na wewe ni Mwanafunzi mwenye mahitaji,umeamua kujishikiza kama kifungo cha shati hadi umalize shule...

Mwanaume anajua kapata msomi,umetulia,kumbe mwenzangu una ajenda ya siri...Wanawke wana moyo,una miaka 19 unadate na jamaa lina miaka 47,jasho analotoa lina harufu ya Sikukuu ya uhuru mwaka 1961 ila upo tu kwa ajili ya PESA....Halafu mashosti zako bila haya wanakwambia, 'Msalimie Shem Handsome' huku chinichini wanakucheka...

Wanafunzi wa Kike wa Vyuo Vikuu,mko juu sana,uko radhi umegwe na jamaa bovuuu kisa hela,hata mkipiga picha Photopoint wana-edit wee poda ya Computer,jamaa bado hakolei hadi wanatamani wamwekee Microsoft Excel usoni!.

Hapo kwenye Red ilo jasho linanukaje? Ebu nijuze
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom