Kwa wadada wa chuo natoa dozi

Hahahahahahaha aaah leo humu jamvini kuna mambo jamani yaani na wewe umenichekesha sana lol. Hapa nilipo nacheka mpaka basi

umechekaaaa hongera sana.

ngoja nikupe na hii..................................usijisifu una mbio msifu na anayekukimbiza mpendwa.
 
Kilichonichekesha ni kuwa Microsoft excel ina mistari stari sasa ukimakarabatia mtu usoni si ndiyo atakuwa kituko zaidi?!!! Au mwenzangu microsoft excel yako ni tofauti?!

hahahahahah mimi nimajaribu kuimagine hiyo ms excel ikiwa imetokelezea usoni mbona kituko.
nyie hamjamwelewa jamani utu uzima nao ni majanga, lol!
mwenzenu kasema hiyo ms excel imetumiwa kuedit....... nadhani sababu ina functions nyingi kuliko word, kitu kama hicho....
 
hahahahahah mimi nimajaribu kuimagine hiyo ms excel ikiwa imetokelezea usoni mbona kituko.

Labda atakuwa hivi....
happyface.gif
 
Mwali na gfsonwin
Hapa kinachozungumziwa sio mapenzi kama tunavyofahamu, bali mapenzi feki yenye kufuata maslahi...
Utunzi wake umezingatia fasihi na kuficha upeo wa habari nzima, ila kwa wenye kuelewa uhalisia wa maisha ya mabinti vyuoni, maofisini na sehemu nyinginezo watamuelewa.
Anajaribu kuwaeleza wanafunzi wa vyuo kuacha UMALAYA
Na wewe hujamwelewa naona. Yeye ana express frustration yake kwa kutoa povu, that's it.
Mengine ni sisi sasa ambao hatuna hasira ndio tunatafuta the hidden (or missing) meaning in it
 
nyie hamjamwelewa jamani utu uzima nao ni majanga, lol!
mwenzenu kasema hiyo ms excel imetumiwa kuedit....... nadhani sababu ina functions nyingi kuliko word, kitu kama hicho....

kweli uzee ni majanga, kumbe excel ina edit picha pia? Nilifikiri ni adobe photoshop au macromedia pekee ndo zina funnction nyingi za kuedit picha, MENTION]FP[/MENTION] ngoja nirudi tuition ya kompyuta!
 
Hahhaaaaaaaa!
FP, mbona si wazee tunakazi? Kama mzee mwenzangu kawekewa mpaka microsoft excel usoni ili aonekana kijana kidogo, mi si ndiyo ndawekewa Microsoft power point au microsoft word kabisa?

lakini tukirudi kwenye ukweli baadhi ya wadada wa vyuo siku hizi wamejirahisi mno, na ni kweli wako kipesa kama alivyotanabaisha mdau hapo juu. Nidhamu, utu na heshima zao zimeshuka mno na ndiyo maana baadhi yao wamedirikia hata kuanza kuonekana maeneo fulani fulani wakijiuuza! Hebu fikiria msomi anayetarajiwa kuwa injinia au daktari, au mwanasheria au waziri au mkurugenzi nk leo hii kaanza ukahaba, hivi tutakuwa na taifa lenye viongozi wa aina gani miaka ijayo? Tutakuwa na watu wenye utu kweli au tutakuwa na watu viatu?
Nawapa pole sana vijana wa sasa maana mapenzi bila fweza siku hizi hayalipi kabisa, pia mambo ya kua mwaminifu mpaka ndoa yamepitwa na wakati. Ndio maana watoto wanataka kubanana kwa baba zao wengine babu zao. Hasa hapa bongo ngono imechukua nafac kubwa vichwani mwa watu. Sipati picha taifa hili huko baadae litakuaje tu. Nadhani mtu mpaka anaoa/kuolewa anakua tayari na ka chain kake, kiasi kwamba hata baadhi ya marafiki wanakua walishapitiwa/kupitia .
 
rafiki namissije zile chain msgs....... ndo kusema zimeisha? maana hueleweki, lol!
mwali mm nipo wee nitumie tu niambie tu mm kwanza unanidai sh ngapi. kweli nimekuwa bize na kile kimeo nlichokuambia na kila siku moja isogeapo nazid kupata presha. ila naomba kweli niambie unanidai sh ngapi
 
kweli uzee ni majanga, kumbe excel ina edit picha pia? Nilifikiri ni adobe photoshop au macromedia pekee ndo zina funnction nyingi za kuedit picha, MENTION]FP ngoja nirudi tuition ya kompyuta!
utajibeba na excle yako ya wakati wa uhuru 1961.......
rudi shule mwenzangu usije nawe ukaingia kwenye list ya majanga
 
Dah......sa-la-leeeeeeeeee..........mwekundu,mkuu,waacha waishi wanavyotaka,wamechagua hivyo,after all nchi yenyewe imeshauzwa hii,budget ya mikopo inazidi kufinywa,watoto wa wavuja jasho wanapata 50% wakati watoto wa mshua ni 100% na scholarship UK juu,sasa wafanyaje.Tatizo jingine nyie vijana kubembeleza hamtaki tuacheni sie wazee tufumanie nyavu mbichi za mwisho mwisho bhana,lol.
 
mwali mm nipo wee nitumie tu niambie tu mm kwanza unanidai sh ngapi. kweli nimekuwa bize na kile kimeo nlichokuambia na kila siku moja isogeapo nazid kupata presha. ila naomba kweli niambie unanidai sh ngapi
mimi sikudai best labda uulize mtaa wa tatu.....
na mimi sikumaanisha chain msgs za PM, za voda, lol!
kile kimeo kitapita tu mpendwa, kuwa na amani, nakuaminia saaana..... tunakuombea pia.
pressure pembeni, sawa? all the best
 
Mwali na gfsonwin
Hapa kinachozungumziwa sio mapenzi kama tunavyofahamu, bali mapenzi feki yenye kufuata maslahi...
Utunzi wake umezingatia fasihi na kuficha upeo wa habari nzima, ila kwa wenye kuelewa uhalisia wa maisha ya mabinti vyuoni, maofisini na sehemu nyinginezo watamuelewa.
Anajaribu kuwaeleza wanafunzi wa vyuo kuacha UMALAYA

Well said watu8, haijalishi kwamba mtoa mada kamwagwa au laa!! hapa anajaribu kuwafunda madenti waache mchezo wao wa kuwadanganya wazee kwamba wanawapenda wala si hivyo, kama ingelikua wanakubali kuolewa nao wala asinge jali, ila wanakula hela zao wakipata shahada zao wanasepa na kuwaacha hao wazee wakiwa ICU. Huu uzi pia ni funzo kwa wazee wenzangu above 40, kama mtu anahisi atapendwa na kadenti basi hilo asahau hata kama ana PhD or more....
 
nyie hamjamwelewa jamani utu uzima nao ni majanga, lol!
mwenzenu kasema hiyo ms excel imetumiwa kuedit....... nadhani sababu ina functions nyingi kuliko word, kitu kama hicho....
Aaah kweli amesema kuedit sasa nimemuelewa lol . Kumbe imemsaidia kidogo kuonekana wa sasa ok. Haya mabo ya kusoma huku unaangua kicheko we acha tu. Hapa bado nacheka jinsi HorsePower anavyonyambua jasho la uhuru wakati mtu anapiga kwata kwenye ardhi iliyojaa vumbi.
 
Last edited by a moderator:
mimi sikudai best labda uulize mtaa wa tatu.....
na mimi sikumaanisha chain msgs za PM, za voda, lol!
kile kimeo kitapita tu mpendwa, kuwa na amani, nakuaminia saaana..... tunakuombea pia.
pressure pembeni, sawa? all the best
hahahahaha! nimecheka hadi basi manake mtu ukiwa unadaiwa bana hata kama mtu anakupigia kukusalimu utaanza kujishauri kupokea simu as utadhan anakumbushia deni lake lol!
sas aunaona nilivyo changanya madawa hapa?? lugha gongana kama babeli leta cement unapeleka sepeto mweeeh!
haya ngoja kwanza nitaanza kuziforwad ili ufurah sawa rafiki??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom