Kwa wadada wa chuo natoa dozi

hahahahahaha duh huyu mkaka anajua kusema jamani . Hata mimi nimecheka mpaka basi hasa ile sehemu ya kunuka jasho la uhuru lol.
 
maneno yake makali sana na najua analo jeraha moyoni mweeh!

hapa nimekukmbuka khanga yangu moja hivi nilinunuliwa na mama miaka ya 90 hivi iliandikwa jraha limo moyoni.

Kwan wew ni dent?usihofu ni kawaida tu sister

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kweli utakuwa hujamuelewa best...

Sijamuelewa vizuri ila ninacho weza kusema ni kua kamwagwa na mwanafunzi,
probably because alidhani she would like him sababu ni kijana.
Hajaelewa it takes more than being young to become eligible siku hizi.
huo ujana wake "haulipi" in all the senses of the word.
Hayo ya jasho la 69 na pucha za photopoint sijui ndio nimepotea
 
KWA MADEMU WA VYUO MKINICHUKIA POA TU.

Watu wanaowajua wakiwaona,wanahisi unampenda kweli,maana mahaba unamuonyesha hadharani,unambusu bila hofu...Watu wanajiuliza kwanini msichana mzuri kama wewe uko na jamaa ambae anaonekana AGE GO AGE WENT,hamfanani kiumri wala kiumbo na ki-wajihi..Kumbe una siri moyoni,humpendi kwa moyo ila kwa sababu ana hela,na wewe ni Mwanafunzi mwenye mahitaji,umeamua kujishikiza kama kifungo cha shati hadi umalize shule...

Mwanaume anajua kapata msomi,umetulia,kumbe mwenzangu una ajenda ya siri...Wanawke wana moyo,una miaka 19 unadate na jamaa lina miaka 47,jasho analotoa lina harufu ya Sikukuu ya uhuru mwaka 1961 ila upo tu kwa ajili ya PESA....Halafu mashosti zako bila haya wanakwambia, 'Msalimie Shem Handsome' huku chinichini wanakucheka...

Wanafunzi wa Kike wa Vyuo Vikuu,mko juu sana,uko radhi umegwe na jamaa bovuuu kisa hela,hata mkipiga picha Photopoint wana-edit wee poda ya Computer,jamaa bado hakolei hadi wanatamani wamwekee Microsoft Excel usoni!.

Sura hata mbuzi anayo,tafuta hela mkuu utakula papuchi za kila aina sembuse hizo aiefuemu
 
uwii mbavu zangu jamani
''jasho analotoa lina harufu ya sikukuu ya uhuru ya mwaka 1961''
eti wamwekee Microsoft Excell usoni.
Jamani we mwekundu mwanaume hasifiwi sura mwanaume anasifiwa kudeposit hela bank.
Yaani hapo na mimi nimecheka sana rafiki huyu mwekundu ana maneno si haba. Nakumbuka mkaka flani alitemwa na gf miaka ya 90 huko alimpondeaje mdada hadi aisema ana sura kama basi la mkoa lol.
 
Last edited by a moderator:
yaani..... sijui watu wanatoaga wapi maneno!
ila kwa kweli kanichekesha sana.
ila ukisoma nyuzi zake naona katendwa sana na hao wadada wa chuo

unaambiwa aje .............................usiseme huna mbio, hujakimbizwa!!!
 
Mwali na gfsonwin
Hapa kinachozungumziwa sio mapenzi kama tunavyofahamu, bali mapenzi feki yenye kufuata maslahi...
Utunzi wake umezingatia fasihi na kuficha upeo wa habari nzima, ila kwa wenye kuelewa uhalisia wa maisha ya mabinti vyuoni, maofisini na sehemu nyinginezo watamuelewa.
Anajaribu kuwaeleza wanafunzi wa vyuo kuacha UMALAYA
 
Last edited by a moderator:
Hahhaaaaaaaa!
FP, mbona si wazee tunakazi? Kama mzee mwenzangu kawekewa mpaka microsoft excel usoni ili aonekana kijana kidogo, mi si ndiyo ndawekewa Microsoft power point au microsoft word kabisa?

lakini tukirudi kwenye ukweli baadhi ya wadada wa vyuo siku hizi wamejirahisi mno, na ni kweli wako kipesa kama alivyotanabaisha mdau hapo juu. Nidhamu, utu na heshima zao zimeshuka mno na ndiyo maana baadhi yao wamedirikia hata kuanza kuonekana maeneo fulani fulani wakijiuuza! Hebu fikiria msomi anayetarajiwa kuwa injinia au daktari, au mwanasheria au waziri au mkurugenzi nk leo hii kaanza ukahaba, hivi tutakuwa na taifa lenye viongozi wa aina gani miaka ijayo? Tutakuwa na watu wenye utu kweli au tutakuwa na watu viatu?
ha haaaa, rafiki wewe sijui hata kama microsoft zitakufaa...... itabidi tuhamie kwenye powerful statistical packages......., Eviews, GAM, Stata, Mathematica........
 
ha haaaa, rafiki wewe sijui hata kama microsoft zitakufaa...... itabidi tuhamie kwenye powerful statistical packages......., Eviews, GAM, Stata, Mathematica........

Kilichonichekesha ni kuwa Microsoft excel ina mistari stari sasa ukimakarabatia mtu usoni si ndiyo atakuwa kituko zaidi?!!! Au mwenzangu microsoft excel yako ni tofauti?!
 
unaambiwa aje .............................usiseme huna mbio, hujakimbizwa!!!
Hahahahahahaha aaah leo humu jamvini kuna mambo jamani yaani na wewe umenichekesha sana lol. Hapa nilipo nacheka mpaka basi
 
Kilichonichekesha ni kuwa Microsoft excel ina mistari stari sasa ukimakarabatia mtu usoni si ndiyo atakuwa kituko zaidi?!!! Au mwenzangu microsoft excel yako ni tofauti?!
hahahahahah mimi nimajaribu kuimagine hiyo ms excel ikiwa imetokelezea usoni mbona kituko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom