Kwa wachaga tu.

[QUOTE=BornTown;657240]Chamecha mono mshiki yuuuuuu cha kilora basi....

Siyo siri Meku mmenifikisha mbali sana, Nimevimisi sana hivyo vipata vya mege (chirahu) so lukeamba kipata si si kirau foo....laaa iyoleta kiti..[/QUOTE]

Aika mwonoko,
 
Wachaga bwana, mnatoa burudani. At least watu mnakumbuka kwenu, sio wengine mpaka wakienda kuzikwa hakuna hata anayejua njia. Sasa nasikia yale majumba mazuri mnayojenga ndiyo yanakuwaga hayana wakaazi mpaka XMAS?

hahaha! Yale majumba ni kwa ajili ya kuweka displini at home! Yanakaa miezi 11 idle lakini huo mwezi mmoja yanayotumika, shughuli yake inakuwa pevu. Karibu Moshi Mkuu. Hutasikitika.
 
Currently Active Users Viewing This Thread: 22 (7 members and 15 guests) [URL="https://www.jamiiforums.com/members/realtz77.html" said:
Naaam hii sasa inakuja vyema jam kama ubungo inaanza taratiiibu namna hii, hapo kesho hapa active users 189, mi napenda sana kabila langu wachaga tunajua wakati muafaka wa mwaka na thread kwa wakati maalumu kama huu
 
Mbaali kuulee naaasikia, malaika waa mbiiiinguniiii,
Wakiimbaa weeeengi pia, wimbo huo juu aaangani.
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!

Wachunga tuuaaaambieni, sababu za wiiiiimbo huooo,
Mwenye kwimbiiiiiiwaaaa ni nani, juu ya nani wimboooooo huo,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!

Je hamjuiiiii jambo kuuuu, la kuzaliwaaaa mwooookozi,
Sababu za wiiiiimbo huo, ni wa kumshukuru mwoooookoziiiii,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!

Aisee Kirisipini,
I thanked you not becoz this post is "useful" per se, but becoz umenikumbusha mbali chali angu!!

Sisi kijijini kwetu wakati wadogo kulikuwa kuna equivalent ya Chrismas carols performance usiku wa kuamkia Krismasi, basi tulikuwa tunashika mistari ya Biblia iliyohusiana na kuzaliwa kwa Bwana wetu Yesu Kristo ilikuwa inaitwa Visuku (singl. Kisuku)!!!
 
Naaam hii sasa inakuja vyema jam kama ubungo inaanza taratiiibu namna hii, hapo kesho hapa active users 189, mi napenda sana kabila langu wachaga tunajua wakati muafaka wa mwaka na thread kwa wakati maalumu kama huu


Ohoo, ngoja jamaa waamke uone watakavyolalamika!! Kuna jamaa wakiSukuma walikuja na thread yao moja ilinifurahisha sana, walikuwa wanaandikiana kwa kiSukuma tu mtu 1 aka mind
 
Kanisani kunakuwa na sadaka ya pili( kumwona mtoto pangoni), huku kwaya ikijitahidi kuimba kwa nguvu na kushangilia ili kuhamasisha mshiko zaidi. Misa inakuwa ndeefu huku wale ambao jana yake walilala nazo kichwani wakivinjari karibu karibu na viunga vya kanisa kutafuta mahali pa kuzimulia. Harufu ya Pilau kwa mbaali inasikika huku watoto wakicheza huku na kule wakisubiri msosi wa nguvu home! Mialiko kedekede mara baada ya misa. Jamaniii, bado siku 23 tu, tukutane kwa Kipanga Majengo!


Kipanga kahama besti, last I heard alikuwa anafanya vituz pale Mkulima Da'slam striti
 
Du. Hii thread imeuza sana. Mbona dada zenu hatuwaoni wakichangia humu, sisi mashemeji zenu tunaogopa!
 
hivi na mbudi (parachichi) zitakuwa kwenye msimu? I love home
 
Uwiiiiiiii luhenda kanyi aulaaa,shaaa njihenda na mali oko!!
Ni utaratibu mzuri huu wa kurudi nyumbani Xmas na kutafakari ni nini umefanya mwaka ulioisha na nini cha kufanya mwaka unaoufuata na kuchinja mbuzi.
 
Uwiiiiiiii luhenda kanyi aulaaa,shaaa njihenda na mali oko!!
Ni utaratibu mzuri huu wa kurudi nyumbani Xmas na kutafakari ni nini umefanya mwaka ulioisha na nini cha kufanya mwaka unaoufuata na kuchinja mbuzi.

Nloi mmeku.....
 
Du. Hii thread imeuza sana. Mbona dada zenu hatuwaoni wakichangia humu, sisi mashemeji zenu tunaogopa!

Kwa kawaida wanaochinja mbuzi na kufanya matambiko ni wanaume. Hii ni sehemu ya tambiko. Dada zetu wanalijua hilo.
 
Back
Top Bottom