duh hii kali umenikumbusha mbali nguli,ukienda moshi unakuta wazee wamejipanga mstari enzi hizo sie watoto watoto miaka ya 80's hivi,ukifika unaonjeshwa kidogo na hilo kombe linaitwa 'kirahu'.then unachuja kwa meno unameza maji unatema mapumba! haya bana
hawavnao wapo ndani ya utamaduni wenu?he he he tuko paomoja kwa zaidi ya miaka 3 sasa ndio naelekea moshi, napenda kisusio nakimisi sana. Nyimbo za Lucky Dube N BOb marley bila kumsahau Judy Boucher. Nafurahia tamaduni yetu.
hawavnao wapo ndani ya utamaduni wenu?
duh hii kali umenikumbusha mbali nguli,ukienda moshi unakuta wazee wamejipanga mstari enzi hizo sie watoto watoto miaka ya 80's hivi,ukifika unaonjeshwa kidogo na hilo kombe linaitwa 'kirahu'.then unachuja kwa meno unameza maji unatema mapumba! haya bana
Shimbonyi mmeku!.. inu ngaseka mpaka baasi..hehe hee... mkuu kule mlimani kwetu tunaita 'kata' ila sikuizi kwenye vilabu vya mbege wame ireplace na yale makopo ya plastiki wanaita 'kitochi' hehe hee.... umenikumbusha mbali sana mkuu, hapo hiyo mbege huwa inanyeka baada ya kula 'machalari'
Kumbe humu tunajadili seriouse issues na vitoto, ndio maana tunashindwa kuelewana some times,duh hii kali umenikumbusha mbali nguli,ukienda moshi unakuta wazee wamejipanga mstari enzi hizo sie watoto watoto miaka ya 80's hivi,ukifika unaonjeshwa kidogo na hilo kombe linaitwa 'kirahu'.then unachuja kwa meno unameza maji unatema mapumba! haya bana
Kumbe humu tunajadili seriouse issues na vitoto, ndio maana tunashindwa kuelewana some times,
Hahaha Mpwa umenikumbusha mbaali sana. Akchuale najaza form ya likizo. December lazima nikatie timu NAZARETI. Mzee hiyo ngaru/shori ikiwa imejaa wari (mbege) iliyotiwa mseseve halafu uwe una mustachi inapendezaga sana. Manake ni lazima upulize sambu ziende mbali halafu unaria mkupuo mmoja wa nguvu. Hahaha! Raha yake muwe wawili, ukisharia unamkabidhi mwenzio naye arie. Hahaha!
Kama ni kipindi cha krisimasi, kamburu (mbuzi) kameshachinjwa, watoto wanachemsha supu huku vijana wakiiweka sawa samu (damu) kwa ajili ya kisusio. Unapiga kisusio halafu unakandamizia na mbege kama sadolini moja hivi, Moshi inakuwa kama Nazareti vile.
Wapwa karibuni Moshi December tufanye get tugedha pale. Bia itakuwa Mbege, mdudu itakuwa mbuzi. Sore wanywaji wa banta, nyie mtakunywa nyalu (mbege togwa). Wapenzi wa maji tutawachotea kwenye mto, yale mnayouziwa lita kwa buku kule mtakunywa bure ndoo kadhaa!
Hongereni wachaga,hata dada zenu siku hizi siyo kama zamani,wanamvuto kinadharia na vitendo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
salamu kwa maro,shirima,lyimo,materu,urassa,shayo,kisanga na wengine
Si mnaona jamani, kitoto hiki hata adabu hakina, oneni sasa kinaanza kutapika utumbo,Unashindwa kuelewana nani? au nani anekuelewa wewe? kwa hio umri mkubwa ndio uwezo wa kuchambua mambo? kwa umri wako wewe umewahi kuchambua nini?