carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,836
- 262
Ah mpwa bwana, hivi kumbe haya mambo ya kweli sana tu. Haya tukutane himo.Hehehe! Ukizingatia mbunge wetu Mramba (wenye wivu wanamwita fisadi eti) kashatuwekea lami, hata Nissan March inafika mpaka tarakea. Unapiga breki pale njia panda ya Himo unapiga shopping ya mikate na kolgeti ya Kenya. Hahaha! Stout lazima likachinjiwe kamburu liache ujinga wa kugoma kustati nyakati maalum! Vameku na Vasheku lazima walipe baraka zao eti. Tunalifanyia kitu inaitwa mtchetche.