Umenikumbusha machalari ya utumbo wa mbuzi fresh alielishwa majani ya mkananga, acha bana usipime!!
yeah,udenda wantoka MISHILI mwanamaji.
Umenikumbusha machalari ya utumbo wa mbuzi fresh alielishwa majani ya mkananga, acha bana usipime!!
Du. Hii thread imeuza sana. Mbona dada zenu hatuwaoni wakichangia humu, sisi mashemeji zenu tunaogopa!
Kwa kawaida wanaochinja mbuzi na kufanya matambiko ni wanaume. Hii ni sehemu ya tambiko. Dada zetu wanalijua hilo.
Nimeipenda hiyo picha!!
Jingle Bells : Lyrics
Dashing through the snow
In a one horse open sleigh
O'er the fields we go
Laughing all the way
Bells on bob tails ring
Making spirits bright
What fun it is to laugh and sing
A sleighing song tonight
Oh, jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
A day or two ago
I thought I'd take a ride
And soon Miss Fanny Bright
Was seated by my side
The horse was lean and lank
Misfortune seemed his lot
We got into a drifted bank
And then we got upsot
Oh, jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh yeah
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
All in all, Shose shicha na tumefurahi sana. way forward, tunakutana wapi xmass hii au kabla? Nani ajitolee kutukutanisha nchi ya ahadi? Twaweza panga mahali muda na saa tukakutana japo tukaria kidogo wakuu. Au maonaje?
Nawakilisha
Mzee tutawasiliana siku zikikaribia pia tuna ugeni wa baadhi ya WAPWA wa JF wanaenda nchi ya ahadi kutembea na kuona sherehe za xsmas zinavyosherehekewa. Stout
lipo garage linapigwa sopusopu.
Hiyo bold imekuzawadia senksi mpwa. Tukifika pale njia panda ya himo tunaweka kituo. Tunapiga shoping ya Mikate ya Arusha na Colgate ya Kenya. Raha kuingia mndenyi kagiza kakiwa kameshaingia. Kesho wale wataalamu wa kulamba kiatu (kupinga mizinga) wakikuuliza umekuja lini unawapiga fix ohooooooo! Nna wiki sasa! Njia ya kupunguza mizinga hiyo! Stuka mangi!
Lyamba kyaaru, ikia iriso(pole ya jicho sijui tafsiri yake kwa kiswahili) ha ha ha ha ha, umenichekesha vijijini nao kwa mizinga sio mchezo.
kama mmekosana na ndg wazee wanataka mbuzi/mburu na ISALE LA NJOFU HA HA HA HA wazee bana wanajua kula pia.
![]()
![]()
![]()
![]()
Halafu stori nyiiingi, ooh! nimeona kama nisinge kuja kukuona/ kujua umelalaje usingenielewa, ooh mara jana tulishiba sana, tulifurahi sana, mbasa ya jana ilikuwa kiboko! Eee, kumbe bado unakumbuka kuimba vile? Ili mradi sifa kede kede. Mara unampiga na buku anaenda kuzimua kama ngera hamna! Maisha yanakwenda mbele!Ilyamba kiaru ni kupiga mzinga. Ikia riso ni mbinu ya kijanja ya kumendea ngera! Stuka mpwa! Kama ulimtwanga mtu kinywaji, kesho anakuja kukusalimu kama ulikia riso (Ulipona jicho eti- Si unajua mausiku huchelewi kula mweleka jicho likapata kasheshe, ofkozi huwezi kumtoa hivihivi mtu aliyekuja kukujulia hali)
Isale pia linachanganywa na NYAAMBI na N'GOORA!kama mmekosana na ndg wazee wanataka mbuzi/mburu na ISALE LA NJOFU HA HA HA HA wazee bana wanajua kula pia.
![]()
![]()
![]()
![]()
Halafu stori nyiiingi, ooh! nimeona kama nisinge kuja kukuona/ kujua umelalaje usingenielewa, ooh mara jana tulishiba sana, tulifurahi sana, mbasa ya jana ilikuwa kiboko! Eee, kumbe bado unakumbuka kuimba vile? Ili mradi sifa kede kede. Mara unampiga na buku anaenda kuzimua kama ngera hamna! Maisha yanakwenda mbele!
Isale pia linachanganywa na NYAAMBI na N'GOORA!
nasikia wakichanganya huu mkorogo maaalumu lazima ukubali kumsamehe mtu ni kama labadiri vile. Halafu kijijini wanaheshimu sana katekisimu kuliko biblia YESU NA MARIA ni maarufu kuliko Mungu.