Jingle Bells : Lyrics
Dashing through the snow
In a one horse open sleigh
O'er the fields we go
Laughing all the way
Bells on bob tails ring
Making spirits bright
What fun it is to laugh and sing
A sleighing song tonight
Oh, jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
A day or two ago
I thought I'd take a ride
And soon Miss Fanny Bright
Was seated by my side
The horse was lean and lank
Misfortune seemed his lot
We got into a drifted bank
And then we got upsot
Oh, jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh yeah
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Jingle bells, jingle bells
Jingle all the way
Oh, what fun it is to ride
In a one horse open sleigh
Mbaali kuulee naaasikia, malaika waa mbiiiinguniiii,
Wakiimbaa weeeengi pia, wimbo huo juu aaangani.
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Wachunga tuuaaaambieni, sababu za wiiiiimbo huooo,
Mwenye kwimbiiiiiiwaaaa ni nani, juu ya nani wimboooooo huo,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Je hamjuiiiii jambo kuuuu, la kuzaliwaaaa mwooookozi,
Sababu za wiiiiimbo huo, ni wa kumshukuru mwoooookoziiiii,
Gloooh! ooooh! oooooh! ooooooh! riaaaaaa, in excelsis deeeeeoh!
Unaimba sauti ya ngapi na misa ya ngapi? uko deep! Umeikamata thanks yangu ya kwanza kwenye mwezi wetu huu wa kumi na mbili.
Hapo linapigwa na lile piano la kujaza na upepo, unalikumbuka? Iwe misa ya usiku, nusu ya waumini wananukia mbege. Wageni toka mijini wao huwa hawaendi ya usiku, wanakutana misa ya tatu kuonyeshana nani ana gari yenye akili kuliko mwenzake: Vita ya ma-academicians toka Dar na wana-apollo toka Arusha huwa inakuwa kali zaidi. Hahaha! Ma-shoe shiners wa Mombasa na Nairobi huwa wanapambana na wachoma nyama wa Moshi na Arusha. Panakuwa patamu sana Moshi. LOL!
Leo mimi nazitunuku tu, nataka xsms hii turushe thread moja tokea MASHATI tuwasiliane na wapwa watakao kuwa mjini.
hAHAHhahahahahahahahahhah hahahahahahahhahahah ahahahahaha
ulifikiria nini kaka....? umenchekesha kinoma....hahahahahhhaa
Unaimba sauti ya ngapi na misa ya ngapi? uko deep! Umeikamata thanks yangu ya kwanza kwenye mwezi wetu huu wa kumi na mbili.
Natabiri hiyo sauti lazima itakuwa ya 6 iliyochanganyika na mbege kwa wingi, misa ya usiku alafu mbaya zaidi kachelea kuingia anakuta nyimbo ndio inaishia ishia, tee tee tee haha ha ha, interesting JF kiboko yao.
Natabiri hiyo sauti lazima itakuwa ya 6 iliyochanganyika na mbege kwa wingi, misa ya usiku alafu mbaya zaidi kachelea kuingia anakuta nyimbo ndio inaishia ishia, tee tee tee haha ha ha, interesting JF kiboko yao.
udini tu............ila msikae vikao vya jinsi ya kuwakandamiza wale wa nyanda za juu maana idara nyeti zote na serikali na makampuni binafsi mmeshikiria.....nasikia mkiona tu majina fulani fulani hawapati labda awe alikusaidia sana ukiwa masomoni.
Xmas njema.................