atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,292
- 9,390
Hila=Hila angeteuliwa bwanaako!!?
Ila=
Hila=Hila angeteuliwa bwanaako!!?
Father of AllMakamba hata hivyo, hatakawia kuumbuka. Kwani hiyo ndo tabia yake. Tena kwa huyu mama ataumbuka mapema na sana. Mtakumbuka maneno haya muda si mrefu.
Daudi MchambuziUsirithi adui wa mtu.
How many gangs do we have in TZ? Sukuma is one of them and possibly Chagga gang what about others?Ahaahah sukuma gang mtapata tab sana. Sidhan kama kwa mtu timamu naweza kusifu taasisi imara kudukua mawasiliano ya wateule wake na kuyaweka wazi, wewe unatatizo kubwa
Uliambiwa teuzi ni siri ya mteuajiJapokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Uliambiwa teuzi ni siri ya mteuajiJapokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Kama 2025 kutakuwa na kupiga kura. Ikitumika mbinu ya 2020, mtapigiwa kura, na kupewa majibu tu licha ya kupoteza muda siku nzima mkifikiri mnapiga kura. Ndio kumuenzi msukuma mwenzenu!Lengo lao tumelishajua ila 2025 kanda ya ziwa kwa umoja wetu tumekubaliana kuwafundisha adabu katika sanduku la kura.
FoolSi tulikubaliana push gang tunyamaze imekueje tena ndugu yangu uanze kuhoji?
Mh!You are talking nonsense kwa vile Jiwe you equated him na Mungu au zaidi ya Mungu. Rubbish, Ni mtu Kama watu wengine, Ni ngekewa tu siyo kuwa ana akili kuliko wengine.
Mbonà yeye aliwapoteza akina Ben, Mawazo etc etc
Dini imembeba.Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Wewe ni punguani kama mwendazakeKwenye huu uzi machadema yatacoment kama kuku aliekatwa Kichwa maana ile 2015 walikula matapishi ile mbaya
Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
Nawaambia Wana ccm mliokusanyika"asiye na dhambi,ambaye sio mzandiki awe wa kwanza kurusha jiwe"Japokuwa uteuzi huwa ni bakshishi za kisiasa kwa watu wa karibu wa mwenye mamlaka lakini teuzi lazima zizingatie maadili,utii na sifa njema.
Urais ni taasisi na sio mtu mmoja tu. Kama January alionyesha uzandiki na hila kwa rais aliyepita na kisha akanaswa akimsengenya kimajungu mkuu wa nchi, huyu anafaa kurudi kwenye kabineti tena?
Maana ilidhihirika wazi kuwa hakuwa na utii kwa rais. Na ndio maana alidiliki kupika majungu.
Clip zilirushwa wazi na akaomba msamaha. Sasa leo ofisi ya rais imeona vipi kuwa anafaa? Japokuwa ni mzandiki?
BUMBULI DEVELOPMENT ASSOCIATION 2B FROM NSSFSi uzandiki tu, Makamba ni mwizi. Hana sifa ya kuwa waziri. Atuambie bilioni moja yetu aliyoiiba itarejeshwaje. Au ataiba tena.
FoolNakazia alikuwa na akili kama mleta mada.
Acha ushamba we bwege.Tumekusikia Mulaga
Ungeenda mahakamani.Hatuna silaha za kutuwezesha kuiba.