FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,894
- 109,227
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wanamgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Gaza? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapango yalio "very complex" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hamas.
Hamas wameshafanya yao, bado wana mateka kibao, wayahudi wanangoja nini?
Mara sababu ooh hali ya hewa, mara sababu ooh sijuwi nini? Kwa ufupi, hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha hu klKaskazini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja wazijaribu kwa kuipiga Tel Aviv. Waje tu.
Israel itaendelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa uso ndani ya gaza itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hamas wanaokitamani kifo cha kufashaheed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora kutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walioshikiliwa mateka. Na hilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja la chini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanacho kingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya wale ambao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa?
Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.
Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wanamgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Gaza? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.
Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapango yalio "very complex" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.
Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.
Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hamas.
Hamas wameshafanya yao, bado wana mateka kibao, wayahudi wanangoja nini?
Mara sababu ooh hali ya hewa, mara sababu ooh sijuwi nini? Kwa ufupi, hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha hu klKaskazini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja wazijaribu kwa kuipiga Tel Aviv. Waje tu.
Israel itaendelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa uso ndani ya gaza itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hamas wanaokitamani kifo cha kufashaheed" (martyr).
Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora kutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walioshikiliwa mateka. Na hilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja la chini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanacho kingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.
Haya wale ambao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.
View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4