Kwa ufupi, Wayahudi wameshindwa kabla hawajaanza

FaizaFoxy

Platinum Member
Apr 13, 2011
92,894
109,227
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwa watu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wanamgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Gaza? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapango yalio "very complex" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hamas.

Hamas wameshafanya yao, bado wana mateka kibao, wayahudi wanangoja nini?

Mara sababu ooh hali ya hewa, mara sababu ooh sijuwi nini? Kwa ufupi, hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha hu klKaskazini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja wazijaribu kwa kuipiga Tel Aviv. Waje tu.

Israel itaendelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa uso ndani ya gaza itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hamas wanaokitamani kifo cha kufashaheed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora kutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walioshikiliwa mateka. Na hilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja la chini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanacho kingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya wale ambao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
 
Operesheni bado iko pale pale....

The evacuation of residents from the Gaza border town of Sderot is set to begin in the coming hours.
The municipality emphasizes that evacuation is not mandatory, but that it recommends residents leave the area.
Residents are being moved to hotels in Eilat and Jerusalem, with the possibility of also going to Tel Aviv.
Keep Watching
Into the Land Dead Sea Walking.mp400:50/13:35

There are around 7,000 households in the town, according to the Ynet news site.

Last week authorities evacuated residents of the hard-hit Gaza-area communities devastated by Hamas gunmen.

The towns included Nahal Oz, Erez, Nir Am, Mefalsim, Kfar Aza, Gevim, Or Haner, Ibim, Netiv Ha’asara, Yad Mordechai, Karmia, Zikim, Kerem Shalom, Kissufim, Holit, Sufa, Nirim, Nir Oz, Ein Hashlosha, Nir Yitzhak, Be’eri, Magen, Re’im, Sa’ad and Alumim.

In the north, Metula has in recent days recommended that residents leave the town amid the tensions.

Additionally, thousands more living in areas that have come under heavy rocket fire are thought to be displaced, moving to stay in parts of the country that are quieter.

Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.

Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
 
Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.

Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.

Japo kila nikitizama video za mnavyoteseka na watoto wenu najikuta nikiumia sana kwa huruma, tatizo mlivyo mazombi ya ajabu licha ya mateso yote hayo, mkiachiwa lazima mtaendelea na uchizi wenu. Itabidi Israel iendelee tu bila kuwaonea huruma, hamna namna, itabidi hilo eneo lifanyiwe usafi wa kuondoa yale mazombi yenu, wabaki watu wanaopenda amani.
 
Kibibi unapenda kuona watu wakifa tu au ndiyo Imani yenu inavyohubiri?

Vita vya hawa haitokuja viishe, imani yao imeamrisha wawinde Wayahudi na kuwaua

sahih muslim 2921
Abdullah b. 'Umar reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
You and the Jews would fight against one another until a stone would say: Muslim, here is a Jew behind me; come and kill him.
 
Hizo zote ni porojo bila mpango. Mambo ni Gaza, wanamgambo wa Hamas wanawafanya mhororoje na kubwabwaja bila mpango.

Jana Iran, Saudi Arabia, Jorda, South Afica, wote hao wametangaza kimbembe kw Myahudi.
Sasa hao waliotangaza wana nguvu gani za Kijeshi za kumtishia Israel? Eti south Africa watangaze kimbembe na Israel astuke like serious😀😀
 
Mwana wa house girl, hata rithi pamoja na mwana wa ahadi. Never forever. Wabarikiwe wana wa Yakobo, neema na amani ziwe juu yao.
Kwamba mtoto wa mchepuko tena beki tatu anataka na yeye atambulike rasmi.
Wakianza kuwatandika usije unalialia hapa we bibi
Huwa anarusha mapovu kila upande na kuongea maneno machafu yasiyoendana na umri wake hadi aibu.
 
MTU mzima unashabikia vita , tena umeshededea kabisa hujali kuhusu watoto ,wazee , mama wajawazito wanaokufa Pande zote mbili.

Inasikitisha kwa kweli, inasemekana NI udini unakufanya uyafanye haya yote sipati picha ungekuwa kiongozi wa nchi hii God is good always hukuwa .
Tena sasa anashabikia mpaka anatukana hovyo hadi vijana wanamtukana zaidi na wala hajisikii vibaya.Menopouse imemjia vibaya sana mtu mzima mwenzetu.
 
Madam Faiza unawapangia Israel namna ya kuua Wapalestina, wakifanya hivyo uwalaumu na wasipofanya hivyo uwadhihaki. Ndio maana Israel huwa inawatandika bila huruma
20231016_063342.jpg
 
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4

Kwa kifupi hamas ni magaidi serikali ya Palestine inatakiwa iwafukuze ili watu wagaZa waishi kwa amani
 
Ok sawa
Historia inaonesha wayahudi wa Israel kila waliposhambuliwa na wanamgambo wa Hamas walilipiza kisasi papo kwa papo bila kusubiri.

Nini kilichwafanya safari hii "wajipange" kwa muda mrefu na huku wanadai kuwawatu wao wengi wametekwa?

Jibu ni jepesi sana; Hamas ndiyo walioshambulia na katika kushambulia kwao walikuwa wsanajuwa na wanafahamu moto wakaoshushiwa na wayahudi, hilo halina shaka wala ubishi.

Kama walijuwa hilo inamaanisha kitu kimoja tu, walijipanga, ikumbukwe kuwa Israel wameshambulia kutokea mbali na angani ndani ya gaza na wanasema wameua viongozi wawili wa Hamas, cha kujiuliza, viongozi wawili wa Hamas ndiyo wana mgambo wote wa Hamas> Ni nini kinawashinda kuingia Hamas? Na nguvu zote za kivita walizonazo na mashambulio ya ndege za kivita kuuwa viongozi wawili tu na raia kibao ni kushindwa kwa mbinu kwa wayahudi.

Gaza, ina mji mwengine wa mtandao wa mapango waliyoyachimba miaka yaote ya kushambuliwa na Wayahudi, ni mapngo yalio "very comple" mengine yanatokea ndani ya Israel na mengine yanatokea upande wa pili wa mpaka wa Egypt.

Kilichokuwepo, ni Wisrael wanangojwa waingie kwaa miguu wamalize kazi ya kuwamaliza Hamas, ambao ikumbukwe kuwa Hamas ni waanamgambo waliokwisha jitolea kufa, siyo wanajeshi, ni raia wa kawaida walijotolea liwalo na liwe.

Mpaka sasa hivi, hili ni pigo kubwa sana kwa wayahudi na wameshashindwa vita walioitanganza kwa mbembwe za mandonga, kama vile vita imeanza waliposhambuliwa na mgambo wa Hams.

Hamas wameshafanya yao, bado wanamateka kubao, wayahudi wanangoja nini, mara sababu ooh hali yahewa, mara sababu oooh sijuwi nini? Kw aufupi hawana ukweli kabisa. imewanyeshea na inaendelea kuwanyeeshea, sasa kulikwepa wanalianzisha huko kaskaini na Hizbollah, huko ndiyo kabisa wameshaambiwa wasijaribu. Hizbollah jana imewatangazia ina missiles laki moja na nusu wanazongoja waijaribu kuipiga tel Aviv. Waje tu.

Israel itaebdelea kushambulia kwa mbali na kwa ndge, lakini vita ya uso kwa suso ndani ya gaz itakuwa ngumu sana kwao, wanaogopa sana kufa. Kinyume na Hams wanaokitamani kifo ckufa "shahhed" (martyr).

Mpaka sasa nahisabu ushindi ni wa Palestina. Njia pekee ya ushindi kwa wayahudi ni kuagizia makombora ykutokea mbali na hapo kuuwa wayahudi wenzao walishikiliwa mateka. N ahilo wapo tayari kulifanya ikibidi, kwa kwuwa walioshikwa wengi wanahesabika ni daraja lachini, siyo wayahudi ashkenazi. Au kingine wanachokingoja ni majeshi ya kukodisha ndiyo wayasukumie gaza.

Haya waale amabao mungu wenu ni myahudi, ulaji huo.


View: https://youtu.be/tF928JnCQNI?si=1c_BqltNvVkZbwc4
 
Back
Top Bottom