Kwa udhaifu wa rais Samia 2025 ndio itakuwa fursa mujarabu kwa wapinzani kuchukua nchi kwa mara ya kwanza.

Hakuna upinzani Nchi hii, Mbowe yupo kusimamia maslahi ya Dola na CCM, Zitto yupo kusimamia maslahi ya Dola na ccm!.
CCM wataondoka madarakani endapo tu hivi vyama pinzani vitakuwa na watu wenye mioyo yenye udhati wakutetea Taif na sio matumbo, watu Kama Heche, Lissu, Mwambukusi,Mdude ndio wanaweza kuongoza watu kupata haki na uongozi thabiti. Ila sio Hawa kina mbowe na Zitto.
 
Watu wameshajua kuwa rais huyu hafai kuwa kiongozi

Anaendeshwa na kundi fulani , yeye hana maamuzi.

Sasa huyu akisimama na kichwa mfano wa Dk Slaaa atapigwa chink kwenye uchaguzi wa urais.

Hata kama wakiiba kura.
Amka usingizini uliye lala Rais wa Tanzania na Amri jeshi na mwenyekiti wa chama tawala akashindwe uchaguzi na Raia mwema , utakuwa nchi nyingine , kama ni Tanzania amka usingizini
 
Yaani kama uchaguzi ungekuwa fair, hata ukimsimamisha huyu rais na jiwe, watu watachagua jiwe....hafai kabisa....ni vile tu katiba ilimtaka awe rais
 
Watu wameshajua kuwa rais huyu hafai kuwa kiongozi

Anaendeshwa na kundi fulani , yeye hana maamuzi.

Sasa huyu akisimama na kichwa mfano wa Dk Slaaa atapigwa chink kwenye uchaguzi wa urais.

Hata kama wakiiba kura.
Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Kama vipi nyie wanaccm msiokubaliana na huyu aliyeko madarakani, undeni chama cheni Cha upinzani mchukue nchi.
 
Watu wameshajua kuwa rais huyu hafai kuwa kiongozi

Anaendeshwa na kundi fulani , yeye hana maamuzi.

Sasa huyu akisimama na kichwa mfano wa Dk Slaaa atapigwa chink kwenye uchaguzi wa urais.

Hata kama wakiiba kura.
MKUU BILA TUME HURU YA UCHAGUZI CCM HAWAWEZI KUTOKA MADARAKANI NDO MAANA CCM HATA WAKIAMUA JIWE LIWE RAIS LINAKUA
 
Watu wameshajua kuwa rais huyu hafai kuwa kiongozi

Anaendeshwa na kundi fulani , yeye hana maamuzi.

Sasa huyu akisimama na kichwa mfano wa Dk Slaaa atapigwa chink kwenye uchaguzi wa urais.

Hata kama wakiiba kura.
Acha uongo.......ccm haijawahi kuwa na Strong leader baada ya Nyerere.

Msimwonee Dr Samia tu
 
Watu wameshajua kuwa rais huyu hafai kuwa kiongozi

Anaendeshwa na kundi fulani , yeye hana maamuzi.

Sasa huyu akisimama na kichwa mfano wa Dk Slaaa atapigwa chink kwenye uchaguzi wa urais.

Hata kama wakiiba kura.
Alafu wapinzani wakichukua nchi wewe chawa wa watawala wa ccm utaishi maisha gani?
 
Hakuna upinzani Nchi hii, Mbowe yupo kusimamia maslahi ya Dola na CCM, Zitto yupo kusimamia maslahi ya Dola na ccm!.
CCM wataondoka madarakani endapo tu hivi vyama pinzani vitakuwa na watu wenye mioyo yenye udhati wakutetea Taif na sio matumbo, watu Kama Heche, Lissu, Mwambukusi,Mdude ndio wanaweza kuongoza watu kupata haki na uongozi thabiti. Ila sio Hawa kina mbowe na Zitto.
Upinzani upo nyumbani kwako ambako unachezeshwa kwata
 
Upinzani upo nyumbani kwako ambako unachezeshwa kwata
Unaona ulivyo na akili za kupumliwa na mbowe?, Mnataka muwaseme wengine ila akisemwa mmeo wenu mashavu yanakuja juu.
#mbowe aachie chama
 
Kwa chama kipi chama upinzani CDM ,WAMEPOTEANA KABISA , hawana jipya kwa sasa ... !! labda waiojifahamu watawapa upinzani
 
Back
Top Bottom