financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,144
- 40,722
Unakuta kitoto darasani kitundu, hakielewi kumbe kimerithi kwa mshua😂😂 + Mama ndiyo inakua balaa zaidi🙌
Unakuta kitoto darasani kitundu, hakielewi kumbe kimerithi kwa mshua😂😂 + Mama ndiyo inakua balaa zaidi🙌
siro kasoma uru seminary kichwa kile sio kilaza kama wakina bashite
Inaonekana shida kwako ilikua kingereza , masomo ya sayansi yangekuwa yanafundishwa kwa kiswahili ungebutua vizuri kabisaNilifeli masomo yote ya science form 4 lakini nashukuru Mungu kwenye arts nilibutua nikiwa na A ya Kiswahili na C kwenye masomo mengine na kuambulia div 3 .. nikaenda A level napo nashukuru Mungu matokeo hayakuwa mabaya ..
All in all mliopass sciences salute kwenu! ..
Hapana mkuu, nazungumza kingereza bila tabu yoyote ila tatizo nilikuwa stubborn sana sana Yani sikuwa serious kabisa na masomo ndo maana ikapelekea kufeli sciences..Inaonekana shida kwako ilikua kingereza , masomo ya sayansi yangekuwa yanafundishwa kwa kiswahili ungebutua vizuri kabisa
kuna watu kibao wana masters polisi mkuu siku hizi wamekua modern sanaHakuna POLISI kichwa, SIFA kuu ya kuingia huko SOTE tunaijua.
Bila kingereza utaelewaje swali mbona kiswahili umefaulu kwa A. Watu wengi wanafeli kwasababu kingereza kinazinguaHapana mkuu, nazungumza kingereza bila tabu yoyote ila tatizo nilikuwa stubborn sana sana Yani sikuwa serious kabisa na masomo ndo maana ikapelekea kufeli sciences..
Alafu sciences haziitaji kingereza kingi ni arts ndo inataka kingereza sana sababu ya kuandika kwingi ..
Mbona kiswahili kinafundishwa kwa lugha ya kiswahili na bado watu wanafeli.Inaonekana shida kwako ilikua kingereza , masomo ya sayansi yangekuwa yanafundishwa kwa kiswahili ungebutua vizuri kabisa
Bro acha ubishi, mi nimesomea Uganda ambapo hata Kiswahili hawakijui na hicho kingereza nimebutua vile vile ..Bila kingereza utaelewaje swali mbona kiswahili umefaulu kwa A. Watu wengi wanafeli kwasababu kingereza kinazingua
Kiswahili kimefanywa kuwa kigumu . Sayansi ikifundishwa kwa kiswahili ni rahisi zaidi ikumbukwe sayansi ni nature no imagination ila kiswahili mfano fasihi ni mambo ya dhahania zaidi na watu kiswahili wanafeli kwenye fasihi sio sarufi. Fasihi kwakweli ni ngumu sana na baraza la mitihani wameivuruga kabisaMbona kiswahili kinafundishwa kwa lugha ya kiswahili na bado watu wanafeli.
Sayansi sio lelemama
Kwa kupata CBro acha ubishi, mi nimesomea Uganda ambapo hata Kiswahili hawakijui na hicho kingereza nimebutua vile vile ..
Bora umwambie mkuu, science inataka mtu atulize kichwa haswa ..Mbona kiswahili kinafundishwa kwa lugha ya kiswahili na bado watu wanafeli.
Sayansi sio lelemama
Kiswahili kigumu maana hata hatuongei lugha fasaha.Kiswahili kimefanywa kuwa kigumu . Sayansi ikifundishwa kwa kiswahili ni rahisi zaidi ikumbukwe sayansi ni nature no imagination ila kiswahili mfano fasihi ni mambo ya dhahania zaidi na watu kiswahili wanafeli kwenye fasihi sio sarufi. Fasihi kwakweli ni ngumu sana na baraza la mitihani wameivuruga kabisa