Tunaopenda kuwasikiliza motivational speakers na kupuuza tukutane hapa

Elvis Legacy

JF-Expert Member
Aug 10, 2017
3,396
4,740
Kumekuwa na wimbi la motivational speakers kwenye social network mbalimbali hasa YouTube na Tiktok.

Hao jamaa wengine wanajiita life coach, wengine mentors na hata guru. Ukiwasikiliza stori zao za mafanikio nyingine haziendani na maisha ya jamii tunazoishi.

Unakuta mtu anasikiliza au kuangalia video masaa hata matatu anatoka hapo yupo moto kwelikweli kwamba anaenda kufanyia kazi. Baada ya masaa wawili mbele amesahau kila kitu unamkuta baa na masela zake walewale wanabishana Simba na Yanga au Diamond na Konde Gang.

Hebu tukutane hapa tunaowapuuza motivational speakers tena wale wanaoshusha nondo na madini ya maana ambayo ukiyafuata lazima utoboe
 
Mtu anakwambia " mimi nilianza na shilingi elfu moja sasa na miliki bilioni 5"
Unajiuliza unayesikiliza una mtaji wa milioni 30 kila kukicha ujawai fika milioni 100.
 
Ni watu wa hovyo wanaoongelea vitu ambavyo hawajafanya, Ukiangalia vipindi vya samala Jabir, pale kuna motivations, watu wame hastle wanashauri vitu wdmefanya kwa jasho.
 
Mtu anakwambia " mimi nilianza na shilingi elfu moja sasa na miliki bilioni 5"
Unajiuliza unayesikiliza una mtaji wa milioni 30 kila kukicha ujawai fika milioni 100.
Kuna wale wanaoshauri uamke saa 10 alfajiri ndio utaharakisha kupata mafanikio. Wakati mbongo hata akiamka saa 4 asubuhi bado ana masaa mengi yupo idle ni kupiga ngebe tu
 
Wale watu wana vipaji vya kipekee wakiongea utadhan rahisi sana kuwa tajiri
 
Unapaswa kufahamu haya kuhusu motivation speakers.
1. Zaidi ya 90% kwa yale wanayo yazungumza na kuhamasisha watu wengine wayafanye hata wao hawayafanyi.

2. Hata wao hawana hayo mafanikio, lakini wanaigiza kama watu waliofanikiwa kupitia hayo wanayo kuhamasisha.

3. Wanaamini watafanikiwa kupitia kazi ya motivation speaking lakini sio kwa kufanyia kazi zile motivation wanazowaambia nyinyi.
 
Kumekuwa na wimbi la motivational speakers kwenye social network mbalimbali hasa YouTube na Tiktok.

Hao jamaa wengine wanajiita life coach, wengine mentors na hata guru. Ukiwasikiliza stori zao za mafanikio nyingine haziendani na maisha ya jamii tunazoishi.

Unakuta mtu anasikiliza au kuangalia video masaa hata matatu anatoka hapo yupo moto kwelikweli kwamba anaenda kufanyia kazi. Baada ya masaa wawili mbele amesahau kila kitu unamkuta baa na masela zake walewale wanabishana Simba na Yanga au Diamond na Konde Gang.

Hebu tukutane hapa tunaowapuuza motivational speakers tena wale wanaoshusha nondo na madini ya maana ambayo ukiyafuata lazima utoboe
🤣🤣🤣🤣 wao wameshatoboa sasa
 
Back
Top Bottom