Noma sana, nilivyobutuaga zero sufuri, nilipata sana taabu home... ila na sie tulio piga zero sijui tulikuwaje tuuu, naonaga aibu tuuuEbu tukutane hapa wale tulipata ziro na tumetoboa kimaisha angalau Maisha yetu yanaenda vizuri ebu tuje tuje
Mkuu mie ni wa sifuri mzeee 😃😃Holy Man mitaa yako ya kujidai.
Maisha haya MTU Unaweza piga I single digit hafu still ukapigwa na maisha.
Tulio wengi ndio tuko Bugeni tunawatungia Shelia!
siro kasoma uru seminary kichwa kile sio kilaza kama wakina bashitecc kamanda @sirro
Wazee wa TOZOTulio wengi ndio tuko Bugeni tunawatungia Shelia!
Yaani nacheka kama mazuriNaona mnajivunia mlichokivuna eeh hizo Zeroes! Angalieni msije kurithisha watoto