Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 54
BTW Rwanda ina eneo la ukubwa wa kiasi gani?
Je Eneo hilo tunaweza kulilinganisha na Tanzania kwa mara ngapi?
Je Rwanda ina population ya watu wangapi?
GDP ya Rwanda ni kiasi gani?
Je kiwango cha kufuta ujinga kipo cha kiasi gani?
Je, kwa wastani, daktari mmoja anahudumia wagonjwa wangapi?
Je, mifumo yao ya usawa kwa mlinganisho wanakilometa ngapi za lami zaidi ya Tanzania?
Je, Rwanda inategemea nini hasa katika uchumi wa nchi yake?
Je, balance of trade ta Rwanda iko vipi?
Je, uchumi wa Rwanda unakuwa kwa kiasi gani kwa mwaka na ukuwaji wake kwa miaka mitano iliyopita?
Ninataka kuchangia lakini ninahitahaji data na ikibidi nifanye utafiti.
Je Eneo hilo tunaweza kulilinganisha na Tanzania kwa mara ngapi?
Je Rwanda ina population ya watu wangapi?
GDP ya Rwanda ni kiasi gani?
Je kiwango cha kufuta ujinga kipo cha kiasi gani?
Je, kwa wastani, daktari mmoja anahudumia wagonjwa wangapi?
Je, mifumo yao ya usawa kwa mlinganisho wanakilometa ngapi za lami zaidi ya Tanzania?
Je, Rwanda inategemea nini hasa katika uchumi wa nchi yake?
Je, balance of trade ta Rwanda iko vipi?
Je, uchumi wa Rwanda unakuwa kwa kiasi gani kwa mwaka na ukuwaji wake kwa miaka mitano iliyopita?
Ninataka kuchangia lakini ninahitahaji data na ikibidi nifanye utafiti.