Kwa spidi hii Rwanda watatuacha

Kwa spidi hii Rwanda watatuacha

Fortunately sisi tuna CCM na Kikwete. Niliwahi kumsikia Kikwete akitoa excuse kuwa ni rahisi kwa Rwanda kuendelea kwa sababu ni nchi ndogo kuliko Tanzania kulingana na ukubwa wake. Akasahau kuwa China na marekani ni ma-nchi kubwa sana lakini yameendelea!!
 
Ukiangalia data: Rwanda are not any better..Tz tumewazidi! Ukiangalia Global Peace Index (GPI)..Tz we are 59 Rwanda 118!!
Achana na mambo ya peace,ongea facts za development,hata ulaya walipigana mavita kibao,wako wapi hii leo.Think think think ...
 
mawazo mgando yanatuchelesha kugundua wapi tumekwama na hivyo tufanye nini kujikwamua.kama hata la Rwanda kutuzidi spidi ya maendeleo kuna anaepotosha, tutakaa sana hapa chini kwa muda mrefu.
 
''tulipeni dola mbili kwa kilo na tutajenga hospitali na shule wenyewe''!

Kwa sisi wabongo We should take royalty ya madini kama asilimia kumi tu, hizo shule na mifuko ya uwezeshaji tutachangia wenyewe....
Siku zote huwa nashangaa ,watu wanaofananisha Tanzania na mkoa!
 
Back
Top Bottom