bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,345
- 25,322
Zivue tu kwa sana si ndio matumizi ya pesa[emoji23][emoji7] wachawi watu wabaya saana wamenitupia pepo ya kupenda mademu tu si sifikirii cha kesho au cha jana [emoji23][emoji16]
Zivue tu kwa sana si ndio matumizi ya pesa[emoji23][emoji7] wachawi watu wabaya saana wamenitupia pepo ya kupenda mademu tu si sifikirii cha kesho au cha jana [emoji23][emoji16]
Ingia facebook mfollow mchungaji nabii kalist utasaidika
🤓Kilosa kuna sehemu inaitwa Ulaya
View attachment 2770562
View attachment 2770563
View attachment 2770564
Hapa ni cansablaca [emoji23][emoji16][emoji30] maana sasa hivi tupo asubuhi [emoji23][emoji16][emoji30]uku moroco
Uongo mtupu. Hiyo siyo kabisa Casablamca, hizo style ya nyumba zipo USA na Canada tu. Tusidanganyane.
Mitaa ya Morocco inaandikwa Kiarabu na kifaransa.
Unafahamu maana ya neno "casablanca" na kwanini huo mji ukapewa jina hilo?
Hivi kwanini mnakuwa na uongo wa kijinga?
Pole sana.Kiongozi nilikuwa na mjibu jamaa fulani ambaye alikuwa anasema niko cansablaca moroco ndo nikamtumia picha hizo kama njia ya kumcheka tu kuwa niko cansablaca
Post namba 91 unakubali kuwa ulidanganya, hapa unauliza "uongo gani"?Uongo gani