Kwa situation ambayo napitia, hakika uchawi upo

Kwa situation ambayo napitia, hakika uchawi upo

[emoji23][emoji16] ulimwengu una mambo mengi saana ndugu yangu
Huenda ukawa hujui ila ulimwengu una mambo menge saana kwa hiyo tulia na omba Mungu upate pesa kidogo
Kama wenye pesa ndio mnalia hivyo sa itakuaje
 
Kwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure

Nina takriban miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka huku

Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu

Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu

Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza nini
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea

Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa

Wanadamu wabaya saana
Ungeanza na ujuzi ulionao, elimu, kipato chako kwa mwezi, gharama ya pango n.k na uwezo wako unaosalia bada ya kutoa gharama za kukuwezesha kuishi


Hapo tutajua pa kuanzia
 
Kwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure

Nina takriban miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka huku

Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu

Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu

Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza nini
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea

Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa

Wanadamu wabaya saana
....Kweli, Ume - KWISHA, kama jina lako ! Pole Sana Ndugu yetu. Ni Mitihani TU ya Maisha. Mtumaini TU Mungu. Kumbuka Bob Marley aliimba Nini : When one Door is Closed, Many more is Open...!
 
Ungeanza na ujuzi ulionao, elimu, kipato chako kwa mwezi, gharama ya pango n.k na uwezo wako unaosalia bada ya kutoa gharama za kukuwezesha kuishi


Hapo tutajua pa kuanzia

Elimu yangu form tree ya uku sio afrika
Mshaara 3700$ kwa mwezi
Nyumba dollars 800$ umeme 300$
Maji 100$

life insurance. 130$ kwa mwezi

home insurance. 150$ kwa mwezi

Food: 400$ kwa mwezi

Internet: 100$ kwa mwezi

Simu tunalipia kwa mwezi 80$

Mambo mengine ni kupenda kwangu kama nitanunua mavazi na mambo mengine
 
kuna muha mmoja alikaa ujerumani miaka tisa, alirudi tanzania na suruali tano na shati tatu, tukampokea vizuri tukamwingiza kwenye ishu fulani, yule jamaa alikuwa mwiba kwetu, akatugombanisha wote kuja kumshtukia tumeshaharibu ishu zetu nyingi sana kwa kutokuwa pamoja kama mwanzo.

usije kuwavuruga watu huku kama huyo jamaa, nakuomba sana, watu wanawekeza muda wao na akili nyingi sana kutengeneza biashara mpaka zinasimama.
 
kuna muha mmoja alikaa ujerumani miaka tisa, alirudi tanzania na suruali tano na shati tatu, tukampokea vizuri tukamwingiza kwenye ishu fulani, yule jamaa alikuwa mwiba kwetu, akatugombanisha wote kuja kumshtukia tumeshaharibu ishu zetu nyingi sana kwa kutokuwa pamoja kama mwanzo.

usije kuwavuruga watu huku kama huyo jamaa, nakuomba sana, watu wanawekeza muda wao na akili nyingi sana kutengeneza biashara mpaka zinasimama.

Apana bwana mnaturoga uko
 
Sio kulalama Tu wakati mwingine inabidi ushukuru hata Kwa afya na uhai uliokuanao,,,Mshukuru Mungu,,Shukuru mizimu ya kwenu Kwa kuwa ndio daraja la wewe kuwasiliana kiroho Na Mungu!!
 
Elimu yangu form tree ya uku sio afrika
Mshaara 3700$ kwa mwezi
Nyumba dollars 800$ umeme 300$
Maji 100$

life insurance. 130$ kwa mwezi

home insurance. 150$ kwa mwezi

Food: 400$ kwa mwezi

Internet: 100$ kwa mwezi

Simu tunalipia kwa mwezi 80$

Mambo mengine ni kupenda kwangu kama nitanunua mavazi na mambo mengine
Pambana inawezekana utaratibu wako wa maisha mfano SAVING unafanya?, una addiction ambayo inakulia hela nyingi n.k

Fanya assessment ya maisha yako kwanza na fanya marekebisho kabla ya kuhamia kwenye uchawi
 
Back
Top Bottom