Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 28,952
- 147,830
Washirikkshe wazazi,ndugu,Mimi nimerogwa sio kwamba Sina akili huu ni uchawi pro max kabisa
Washirikkshe wazazi,ndugu,Mimi nimerogwa sio kwamba Sina akili huu ni uchawi pro max kabisa
Basi nipage mie pesa nikutunzie,ukirudi bongo nitakuonyesha viwanja vya bei poa.[emoji23][emoji7] wachawi watu wabaya saana wamenitupia pepo ya kupenda mademu tu si sifikirii cha kesho au cha jana [emoji23][emoji16]
Mbaazi akikosa kuzaa........ Acha fikra za kipuuzi tupe total ya mapato na matumizi yako ya kila mwezi tukusaidie kubudget.
Nani huyo kakuroga tukamcharaze fimboMimi nimerogwa sio kwamba Sina akili huu ni uchawi pro max kabisa
Atuonyeshe mchawi tumshughulikie chapHuyu karogwa[emoji23][emoji23]
Kwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure
Nina takribani miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka uku
Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu
Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu
Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza ninijunubhyhbģ
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea
Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa
Wanadamu wabaya saana
CHAI...hujawahi fika hata Uganda wewe...endelea kujifurahishaKwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure
Nina takriban miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka huku
Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu
Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu
Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza nini
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea
Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa
Wanadamu wabaya saana
Nani huyo kakuroga tukamcharaze fimbo
Tafuta hela ndugu, hizo habari za uchawi utazisikia redioniNakuambia ndugu yangu sijui
Kibaya zaidi mimi najitambuwa kuwa Sipo sawa kabisa ila kinacho ni shangaza ni kuwa kila nikipanga kufanya Jambo la maana ili kujisiadia kutoka hali hii najikuta Nasau ninacho taka kufanya naenda kufanya nisicho kitaka
Alafu na kuja kukumbuka Baada ya action
Na wakati mwengine najua ninafanya vibaya ila ile roho ya kutoka ndo inakuwa haipo kabisa ninafanya ivo ivo alafu nikimaliza Ninaanza kujilaumu
Wewe unaona ni kawaida iyo
Tafuta hela ndugu, hizo habari za uchawi utazisikia redioni
[emoji23][emoji23][emoji23]shauri yako.[emoji23][emoji16][emoji30]
Kama pesa unazo mbona huna hata bajaji mbovu huku mkuu.Pesa zipo ndugu yangu wewe unafikiri mimi maskini [emoji23][emoji16]
Hapana mimi sio maskini wala tajiri ila siwezi kushindwa kujinunulia cha kula mavazi na mengine
Na kwa pesa zangu ninazo zipokea kazini ningekuwa afrika labda watu wangekuwa wananiita milionea kwa hiyo mimi sio mskini
Tumnyoe kabla hajampoteza na mawazo ya kurudi bongo[emoji23][emoji23]Atuonyeshe mchawi tumshughulikie chap
Af huyo ukute yupo tu hapo kwa Mtogole anatuchora tu hapaTumnyoe kabla hajampoteza na mawazo ya kurudi bongo[emoji23][emoji23]
Kama pesa unazo mbona huna hata bajaji mbovu huku mkuu.
Kwakweli sijawahi ona milionea analogwa huku bongo au anatolewa mapepo ya uchawi
Au morocco kwa Azizi Ally[emoji23][emoji23]Af huyo ukute yupo tu hapo kwa Mtogole anatuchora tu hapa