Kwa situation ambayo napitia, hakika uchawi upo

Kwa situation ambayo napitia, hakika uchawi upo

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,793
Reaction score
5,042
Kwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure.

Nina takriban miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka huku.

Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu.

Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu.

Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza nini
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea.

Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa.

Wanadamu wabaya saana
 
Uko ulaya gani mzee
Screenshot_20231003-162030.jpg
 
Kwenye maisha yangu sijwahi kuamini ushirikina kamwe ila kwasasa kutokana na situation ambayo napitia hakika huu utakuwa mkono wa mtu sio bure
Nina takribani miaka 8 ulaya ila cha ajabu Sina hata nyumba ya miti kwetu afrika na Sina amendeleo yeyote kwetu sio kwetu tu mpaka uku
Kila nikijaribu kufikiria kufanya Jambo la maana katika maisha yangu
Najikuta na dumbukia katika hali ambayo itakayo nipotezea malengo yangu
Na cha ajabu yakipotea najikuta najilaumu bure nikipanga tena naharibu peke yangu kinacho ni shangaza nini
Najitambuwa kuwa siko sawa kabisa ila kufanya Jambo la maana ili kujikomboa na hali hii uwezo ndo unapotea

Sijawahi kuamini uchawi kwenye maisha yangu kwasasa naona bora kurudi nyumbani afrika na mimi nije kufanya Jambo la maana kwa wazee wangu maana huu ni uchawi kabisa
Wanadamu wabaya saana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom