Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
Muhammed mwenyewe alisema hajui watu wake wanakwenda wapi?Ndugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Kwahiyo wale wakristo waliouawa Nigeria na kwingineko wanalazimishwa kukutana na vifua vilivyosimama peponiNdugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Huyu sheikh ni hatari kama mtaani kwake kuna mabinti wabichi wa kazi hawako salamaNdugu zetu waislamu wameahidiwa makubwa pindi watakapofika peponi, na mimi naanza kujitafakari.
View attachment 2860064
View attachment 2860063
Hawako salama kivipiHuyu sheikh ni hatari kama kwake kuna mabinti wabichi wa kazi hawako salama
Kupigwa mande na mashababi 72 yaliyojilipuaNa wanawake watapata raha gani huko peponi? Nataka kujifunza
Njema 14 kila mmojaNa wanawake watapata raha gani huko peponi? Nataka kujifunza
Hizi dini ni stories tu watu wanapigana kamba tu.Ni vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!
Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Endelea kutodhania mzeePropaganda za kidini , sidhani kama kuna uhalisia wa hivyo, ikiwa hio pepo ipo basi ipo nje ya vionjo vya kibinadamu.
🤣🤣wahi neema kabla hujachelewa
Una uhakika,au umesikiasikia tu ukadaka!?Muhammed mwenyewe alisema hajui watu wake wanakwenda wapi?
USSR
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Utapeli wa kidini. Yaani wewe na akili Yako timamu unajua mtu akifa anafufuka. Siyo kweli kabisa. Halafu kusema watapewa mabikra 70 ni mawazo ya kimalaya na wakati dini inapinga uzinzi. Je wenye ukimwi na magonjwa mengine ya kuambikiza itakuwaje. Tuwe na critical thinking na siyo kufuata mkumbo tuNi vyema kufahamu hivyo hatovipata kila aliyekuwa Muislam, bali Muislam swafi mwenye kutenda mema na kufanya ibada kikamilifu.
Mwenye kuzingatia yale yote yaliyokatazwa, sio rahisi Sheikh!
Hapa tu umeshaanza kutamani hizo ahadi, mitihani mingine utaivuka?
Lakini, karibu katika Uislam.