Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Nakubaliana na wewe kabisa. Hii dunia ina siri kubwa sana na inawezekana kabisa dunia sio "duara" kama tulivyofundishwa. Kuna maswali mengi sana ya kujuiuliza ambayo hayana majibu kama kweli dunia ni duara. Kwa mfano;
1. Kama dunia ni duara na inajizungusha kwenye muhimili wake, kwanini basi ukiruka juu, unatua pale pale uliporikia na dunia haikuachi?
2. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu wote duniani, popote pale walipo, wakiangalia juu wanaona anga hilo hilo?
3. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu walio upande wa pili wa hili duara hawaanguki?
 
Sayansi na elimu ya binadamu inapogonga mwamba mbele ya uumbaji wa mungu.The Big Void.
images (10).jpg
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Hii dunia ina siri kubwa sana na inawezekana kabisa dunia sio "duara" kama tulivyofundishwa. Kuna maswali mengi sana ya kujuiuliza ambayo hayana majibu kama kweli dunia ni duara. Kwa mfano;
1. Kama dunia ni duara na inajizungusha kwenye muhimili wake, kwanini basi ukiruka juu, unatua pale pale uliporikia na dunia haikuachi?
2. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu wote duniani, popote pale walipo, wakiangalia juu wanaona anga hilo hilo?
3. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu walio upande wa pili wa hili duara hawaanguki?
Kwan zile picha za dunia zikipigwa na satellite zinaonyesha dunia ni bapa au konakona?
 
Simply, ni ubaguzi wa rangi kumbuka haya mambo kwamba binadamu mweupe mwenye macho ya bluu na mwenye nywele za njano ndiye binadamu aliyekamilka, yalianzishwa na baadhi ya wamarekani wabaguzi, ndio manazi wa Ujerumani chini ya Hitler walikoyatoa.
Binadam mwenye macho ya njano ndie aliyekamilika, je kwako unaona lina ukweli?
 
Kumbuka hii Ideology ya superior human na sub human ilitumika pia katika vita ya pili ya dunia jeshi la Manazi lilikuwa linaamini waRussi walikuwa inferior wakawavamia na kuuwa mamilioni ya watu lakini mwisho waRussi walishinda na kuuthibitishia ulimwengu kuwa hii Ideology ya Manazi haikuwa ya kweli.
Nini kifanyike kuzuia huu unyama unaoendelea ili tusiaogamie?
 
Eugenics ni mauwaji ya kimbari.
Binafsi naona uelewa wako ni mkubwa, haiwezekani tukaanzisha kampeni ktk social forum nyingi za kiafrika kufundisha kinacho endelea na tutacho kumbana nacho na kuangamizwa kwa kizazi cha jamii ya weusi?

Hivi kweli serikali zetu za kiafrika wanajua haya au wapo kulewa madaraka?
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Hii dunia ina siri kubwa sana na inawezekana kabisa dunia sio "duara" kama tulivyofundishwa. Kuna maswali mengi sana ya kujuiuliza ambayo hayana majibu kama kweli dunia ni duara. Kwa mfano;
1. Kama dunia ni duara na inajizungusha kwenye muhimili wake, kwanini basi ukiruka juu, unatua pale pale uliporikia na dunia haikuachi?
2. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu wote duniani, popote pale walipo, wakiangalia juu wanaona anga hilo hilo?
3. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu walio upande wa pili wa hili duara hawaanguki?

Shida ni vile unavyofikiri bila kufiri ukubwa wako na Dunia ebu kwanza fikiri ukubwa wa dunia na wewe ili nikupe jibu.

Siyo kweli kila siku kuwa mwaka mzima unaona anga hiyo hiyo hubadirika jaribu kukariri kila mara kuangalia zile nyota kubwa utagundua utofauti.
 
Nakubaliana na wewe kabisa. Hii dunia ina siri kubwa sana na inawezekana kabisa dunia sio "duara" kama tulivyofundishwa. Kuna maswali mengi sana ya kujuiuliza ambayo hayana majibu kama kweli dunia ni duara. Kwa mfano;
1. Kama dunia ni duara na inajizungusha kwenye muhimili wake, kwanini basi ukiruka juu, unatua pale pale uliporikia na dunia haikuachi?
2. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu wote duniani, popote pale walipo, wakiangalia juu wanaona anga hilo hilo?
3. Kama kweli dunia ni duara, kwanini watu walio upande wa pili wa hili duara hawaanguki?
Hakuna chenye ukweli katika bandiko lako.
 
Kuna hii habari mbaya kutoka Madagasca,tuwe makini sana maana hawa ni majirani zetu na huu ugonjwa ulioanzishwa huko unaweza kutuingilia huku
 
Binadam mwenye macho ya njano ndie aliyekamilika, je kwako unaona lina ukweli?
Halina ukweli wowote, kila jamii imekamilika kwa mfano wa misri wa kale walikuwa na akili sana na walikuwa weusi tii,majengo waliyoyaacha na utamaduni wao bado upo mpaka leo.wachina wa kale walikuwa na akili sana walijenga ukuta mrefu sana,kwa ujumla mwanadamu amekamilika.
 
Binafsi naona uelewa wako ni mkubwa, haiwezekani tukaanzisha kampeni ktk social forum nyingi za kiafrika kufundisha kinacho endelea na tutacho kumbana nacho na kuangamizwa kwa kizazi cha jamii ya weusi?

Hivi kweli serikali zetu za kiafrika wanajua haya au wapo kulewa madaraka?
Kuna haja ya kuzishawishi serikali zetu kuhusu haya,tuwe na udhibiti wa NGOs ambazo zinajifanya zina lengo zuri kumbe ni Trojan horses,(kufuta Uzazi wa mpango kumbuka tuna maradhi mbalimbali uzazi wa mpango wa nini) kutokuwaamini hao wanaojifanya kutusaidia,AU ianzishe kitengo maalumu kupambana na haya mashambulizi dhidi ya jamii yetu.
 
Binafsi naona uelewa wako ni mkubwa, haiwezekani tukaanzisha kampeni ktk social forum nyingi za kiafrika kufundisha kinacho endelea na tutacho kumbana nacho na kuangamizwa kwa kizazi cha jamii ya weusi?
Kwa sababu mpango huu unawalenga vijana, na vijana ndio kundi bichi linalozaliana ni muhimu kuanzisha harakati katika mitandao ya jamii na pia kubadilishana habari kuhusu hili jambo.na kuondoa siasa katika hili tutaisha
 
Simply, ni ubaguzi wa rangi kumbuka haya mambo kwamba binadamu mweupe mwenye macho ya bluu na mwenye nywele za njano ndiye binadamu aliyekamilka, yalianzishwa na baadhi ya wamarekani wabaguzi, ndio manazi wa Ujerumani chini ya Hitler walikoyatoa.
Ktk viwango vya akili haohao wazungu wanajisema wao kwa wao kuwa huyo mzungu mwenzao mwenye nywele za gold ni zero brain.

Hiyo wao ndani kwa ndani pia wanajibagua. Mf. Muingereza anajiona yupo juu sana/mstaarabu kuliko wazungu wengine mara nyingi wakikutana wazungu kwa wazungu huku porin wakija kutalii huwa tunawachora sana wakisemana.
 
Hiyo wao ndani kwa ndani pia wanajibagua. Mf. Muingereza anajiona yupo juu sana/mstaarabu kuliko wazungu wengine mara nyingi wakikutana wazungu kwa wazungu huku porin wakija kutalii huwa tunawachora sana wakisemana.
Hayati Mwalimu Nyerere aliyasemaga haya ya utamu wa nyama ya binadamu hauwezi kuacha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom