Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Yes nikweli mfano ukiwa ndani ya ndege angani huwezi juwa kama ndege inakimbia speed kubwa .
Hata dunia inazunguka kwa speed kubwa ila hatuioni sababu tupo safari moja. Nimeongeze kwa mtazamo wangu.
Ni kweli kabisa
 
Hapa panahitaji maelezo ya kujitosheleza, kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei? Na zitakapoungana kuna madhara au faida gani itakayowapata viumbe waiomo kwenye system ya nyota hizi? Au ndio utakuwa mwisho wetu?
Galax kugongana ni madhara makubwa kwa viumbe waliomo ktk mazingira hayo maana hali ya hewa itabadirika na kuathiri mzunguku halisi uliokuwapo awali na Sayari hufa, na Nyota huungana
Sasa fikiri nyota nyingine inayolingana na Jua letu iungane na Jua letu ina maana itakuwa na ukubwa mara 2 ya jua letu na itaathiri mzunguko halisi wa sayari joto litapanda mara 2. Zaidi ya uhalisia fikiri kwa mfano dunia yetu ifikie nyuzi joto 80° hakuna kiumbe kitastahimili hali hii maji ya yatayeyuka kwa kuevuka (mvuke) kutafta kwingine kwenye mazingra yaliyo rafiki.
 
Hapa panahitaji maelezo ya kujitosheleza, kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei? Na zitakapoungana kuna madhara au faida gani itakayowapata viumbe waiomo kwenye system ya nyota hizi? Au ndio utakuwa mwisho wetu?
Kupanuka kwa universe hakuongezi umbali kati ya nyota na nyota ila huanzishwa kwa galax zingine na galax moja ni familia inayo elea pamoja kwa hiyo kuweza kukutana ni jambo lisilo shaka maana inategemea uelekeo wa majirani hawa upoje.
 
kama universe inapanuka ina maana vilevile umbali toka nyota moja hadi nyingine na kutoka galax to galax unaongezeka, inakuwaje tena ziungane? Au kuna galax ambayo imesimama haisogei?
Swali zuri, hapa kuna nguvu mbili kuu zinazoshindana,moja ni Dark energy ambayo inafanya ulimwengu upanuke kwa kasi ya mwanga na nyingine ni Gravity ambayo inavuta ulimwengu,sasa kama galaxy ziko karibu nguvu ya gravity katika galaxy mbili husika zitavutana na hatimae zitaishinda dark energy.
collide_galaxy_mkaku.jpg
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini navyepesimy juju OKm vinakwenda angankkkkvyiolkujm
hi
hatuwezi kufahamu kilahji kituKk lo looklk lookkkiiikii lakiniml b upo uwezekanokuwao ukubwa mom wdduuwezekanokuwayjjjNjknnllhhijmojN Kyt CBC MV ll
lll mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki kuruka,uhalisi I k
Jl kama tunavyoona kila siku k ipo tuli imetulia.[/QUOTE

L
 
Je mwanadamu amegundua mbinu ya kuidanganya gravity? Kama ni ndio je gravity laws zinabidi ziangaliwe upya?.
 
We jamaa ujinga wako ni wa kiwango cha kipekee kabisa..!

Tena ni wa kiwango cha PhD
 
Mkuu ongezea maelezo itapendeza
Point yangu baada kuitazama video hiyo ni kwamba je mwanadamu anawezaje kufloat?je laws of gravity zinaweza kukiukwa?!! Hizi nguvu ni muhimu katika usafiri wa space.
 
Point yangu baada kuitazama video hiyo ni kwamba je mwanadamu anawezaje kufloat?je laws of gravity zinaweza kukiukwa?!! Hizi nguvu ni muhimu katika usafiri wa space.
Ukweli ukimzidi alieambiwa,unageuka uongo kwake.na hilo Ndio chujio.Moyo mnyenyekevu Tu, ndio utakaofaulu.
 
Wakati captain Cook alipofika Australia na mabaharia wake,walishangazwa kuona wanyama kama panya wakubwa wakitembea kwa kudunda dunda ndipo alipowauliza(wenyeji) kwa kiingereza kuhusu mnyama huyo anaitwaje wakajibu "kangaroo"wakiwa na maanisha "hatujui unachokisema" ndipo Cook akachukulia kuwa ameambiwa jina la mnyama huyo.
 
Kitakachowakuta wanaanga watakaoelekea Mars,pindi malfunction yoyote itakapotokea ni kifo cha haraka.
images (3).jpg
 

Similar Discussions

76 Reactions
Reply
Back
Top Bottom