Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa sababu mpango huu unawalenga vijana, na vijana ndio kundi bichi linalozaliana ni muhimu kuanzisha harakati katika mitandao ya jamii na pia kubadilishana habari kuhusu hili jambo.na kuondoa siasa katika hili tutaisha
Tuanzie wapi ni vipi tufanye ambavyo nadhani tukianza na watu kuujua ukweli tunaweza pata support hata kwa mamlaka za kiserika ili tutengeneze wazo pana kwa forum zote za afrika?
 
Mkuu unadhani viongozi wa kiafrica wana msukumo ktk haya maana wamejikita ktk siasa wengi wao wamelewa madaraka hawajui hata nini kinaendeo!
Tunawezaje kufanya kitu ambacho kina ushawishi ili tusaidie serikali kung'amua matatizo hatarishi tunayoletewa na wanaotaka kutuangamiza?
Nadhani hili swala linatuhusu sote,japo viongozi ndio wanatakiwa wawe na ufahamu zaidi ila mitandao ya jamii itawaamsha,kuna mambo mengine yanatakiwa yawe siri na vyombo vya usalama wa taifa vijikite kwenye hili jambo,na kuihusisha wizara ya afya,ofisi za mkemia mkuu.kuzichunguza chanjo na madawa yanayoingizwa nchini,wizara ya kilimo pia iangalie hizi mbegu zinazoingizwa nchini,ili kuyadhibiti mashambulizi haya.
 
Wanawake wetu wanaotumia vipodozi vya kuchubua ngozi,wanaharibu DNA yetu,hivi vipodozi vitachangia kutumaliza.

Wanawake wana hitaji Elimu ya kiwango cha juu tatizo utandawazi na serikali zetu zingeweka mkazo wa kudhibiti huu ujinga ingesaidia
 
Tuanzie wapi ni vipi tufanye ambavyo nadhani tukianza na watu kuujua ukweli tunaweza pata support hata kwa mamlaka za kiserika ili tutengeneze wazo pana kwa forum zote za afrika?
Hili swala linatakiwa kuanza katika nchi husika kwa siri,kumbuka ni vita! Kuweka mikakati yetu hadharani ni sawasawa na mbuzi anapopiga kelele wakati anaenda kuchinjwa, mwenye kisu hatasumbuliwa na kelele,kuwaandikia viongozi barua ya kawaida na sio e-mail ya aina yoyote.
 
Wanawake wana hitaji Elimu ya kiwango cha juu tatizo utandawazi na serikali zetu zingeweka mkazo wa kudhibiti huu ujinga ingesaidia
Awareness ndiyo tatizo, na sisi ndio tunaochangia dada zetu wajisilibe na kemikali. tupende wanawake wetu wakiwa natural,tubadishe utamaduni wa kupenda vyeupe,kuku wa kienyeji ndiye mwenye supu.matangazo ya biashara pia yalenge mtazamo huu,na adhabu kali zitolewe kwa wanaoingiza vipodozi vinavyotumaliza.na ukweli ni kwamba ukitaka kuimaliza jamii anza na mwanamke.
 
Mimi sipingani na wewe ndugu island , Kama dunia ni duara kama wanavyosema, bado kuna maswali ambayo hayana majibu mpaka leo. Na kama dunia ni tambarare pia bado kuna maswali mengi tu ambayo hayana majibu. Vyovyote ilivyo; duara au tambarare, ni zaidi ya "sayansi" dunia kuwa kama ilivyo. Ni muujiza mkubwa sana uliofanywa na YEYE aliyeiumba!

1.Kama dunia ni duara kweli na inajizungusha kwenye mhimili wake kwanini ndege zikiruka juu hazipotei na kujikuta zipo upande mwingine wa duara?

2.Kama dunia ni duara kwanini maji ya bahari ambayo ndiyo mengi sana kuliko ardhi hayamwagiki upande wa pili wa duara hili?

3.
Kama dunia ni duara upande upi wa duara unaangalia chini na upande upi wa duara unaangalia juu?

View attachment 635583

Maswali yako yote yanajibiwa na kitu kinaitwa gravitational force , nguvu inayovuta kila kitu kuelekea centre ya dunia , hili halina ubishi maana tunajionea wenyewe hii force ipo na ukiikwepa basi unaelea juu juu bila direction , ndege huruka kwa njia ya kuondoa force hii, unapokunywa soda kwa mrija ile soda inapanda kwenye mrija kwa kuodoa gravitational force upande mmoja ndo maana ukiweka mrija na ukaziba mdomo wa soda vizuri soda haipandi kwa hiyo hii force ipo. Hujaelewa niulize nikupe mifano mingine mirahisi utaelewa tu.


Kwa nini ndege zikiruka hazipotei ? Hizi ndge za kawaida haziwezi kuruka nje ya dunia (dunia ni anga , ardhi na bahari) hivi vyote ni physical materials yan anga lina hewa ambayo tunai feel na ina uzito kwa hiyo nayo ni sehem ya dunia, kumbuka dunia inazunguka na anga lake yan hewa ya mbeya huwezi ikuta iko ulaya itaendelea kuwa mbeya hapo hapo ni kama uko kwenye gari hewa ya ndani inatembea na gari labda ufungue madirisha. Ndege zinatembea kwa urefu toka ardhini na iki maintain urefu ule ule itajikuta inazunguka dunia hivyo kutua sehem husika (ndege zinafuata mdura wa dunia hazinyooshi nje ya dunia) na ndo maana ukiingalia kwa mda mrefu inakuwa kama inazama na kupotea kwa maana kwamba imeenda upande mwingine wa duara/dunia. pia ndege zinatumia mda na mawasiliano mda wote na rubani anafanya adjustment accordingly. Kifupi ndege hainyooshi bali inazunguka sema huwezi kuona maana dunia ni kubwa sana kiasi kwamba ukubwa wake hauingii hata akilini.

Issue nyingine ni kwamba tunaelewa vitu kwa kitu kinaitwa relativity yan kulinganisha, mfano huwezi sema hili jiwe ni kubwa bila kuona mengine madogo , huwezi kusema kule ni juu bila chini kuwepo , huwezi kusema uko ndani ya gari bila kuona au kutambua nje ya gari , huwezi kusema gari linatembea bila kuangalia nje , ukiangalia ndani mwende wa gari hutauona , mfano magari mawili yanayoenda direction moja yakitembea kwa mwendo sawa abiria wa magari hayo watajiona wamesimama nafikiri hii ishawahi kukutokea , sasa kwa upande wa dunia hatuna cha kulinganisha nayo ndo maana huwezi kuona ukubwa wake au umbile lake kwa macho .

Maji hayawezi kumwagika, sasa yatamwagika wapi ? Kumbuka nimekwambia kila kitu kinavutwa kwa huyo maji nayo nayavutwa hapa nimeweka vidoe ya watu waliosehem isiyo na gravity uone maji yanavyokuwa



Hamna upande wa dunia ulio juu wala chini , hizi ni assumption zetu tu lakini kisayansi hamna hicho kitu , vitabu vyote huwezi kukuta eti upande huu ni juu , hiyo tumetengenza sisi tu kwa kuangalia angani ila amini hamna juu wala chini
 
Awareness ya color codes, kumbuka kemikali ndio zinazoleta maradhi na ugumba kabla kutumia kitu angalia kwa makini.
 
Nadhani hili swala linatuhusu sote,japo viongozi ndio wanatakiwa wawe na ufahamu zaidi ila mitandao ya jamii itawaamsha,kuna mambo mengine yanatakiwa yawe siri na vyombo vya usalama wa taifa vijikite kwenye hili jambo,na kuihusisha wizara ya afya,ofisi za mkemia mkuu.kuzichunguza chanjo na madawa yanayoingizwa nchini,wizara ya kilimo pia iangalie hizi mbegu zinazoingizwa nchini,ili kuyadhibiti mashambulizi haya.
Kuna shida kubwa katika mamlaka zetu za udhibiti na wataalamu wengi ni ndumila kuwili hawana uzalendo wanaangalia maisha ya familia zao na Serikali zetu wanaajiri kwa milengo ya kisiasa huku wakiacha wataalam wabobevu katika sehemu husika.

Mawazo:
Kwa kuanza Tunaweza anzi JF tukaweka uzi na tukaendelea kutafta wataalam mbalimbali ili wasaidie ktk utafiti ili kila tutachokiweka kifanyiwe uhakiki.

Lakini Serikali kupitia ofisi ya Mkemia Mkuu na Mganga mkuu wapo tayali kutoa ushirikiano?

Maana Wataalamu wengi hususani wanasayansi ktk inchi zetu za kiafrika wanaopata Elimu zao nga'mbo ni mapandikizi wa madhalim ya kimagharibi.
 
Mawazo:
Kwa kuanza Tunaweza anzi JF tukaweka uzi na tukaendelea kutafta wataalam mbalimbali ili wasaidie ktk utafiti ili kila tutachokiweka kifanyiwe uhakiki.
Nadhani huu utakuwa mwanzo mzuri na ambao uko ndani ya uwezo wetu.
 
Hili swala linatakiwa kuanza katika nchi husika kwa siri,kumbuka ni vita! Kuweka mikakati yetu hadharani ni sawasawa na mbuzi anapopiga kelele wakati anaenda kuchinjwa, mwenye kisu hatasumbuliwa na kelele,kuwaandikia viongozi barua ya kawaida na sio e-mail ya aina yoyote.
Tutengeneze mikakati ya kuwasiliana ili hili jambo liwe endelevu
 
Awareness ndiyo tatizo, na sisi ndio tunaochangia dada zetu wajisilibe na kemikali. tupende wanawake wetu wakiwa natural,tubadishe utamaduni wa kupenda vyeupe,kuku wa kienyeji ndiye mwenye supu.matangazo ya biashara pia yalenge mtazamo huu,na adhabu kali zitolewe kwa wanaoingiza vipodozi vinavyotumaliza.na ukweli ni kwamba ukitaka kuimaliza jamii anza na mwanamke.
Ni kweli kabisa ni Mwanaume mpumbaü tu anae furahia mke wake kujichubua, küvaa wìgi, kujichora , kupaka rangi na hyna
Mkuu nimependa tufanye mpango huu ili tutimize wajibu wetu Mungu atatusaidia.
 
Maana Wataalamu wengi hususani wanasayansi ktk inchi zetu za kiafrika wanaopata Elimu zao nga'mbo ni mapandikizi wa madhalim ya kimagharibi.
Nadhani hawajaiona "bigger picture"ya hili tishio la kutoweka kwetu.
 
Maswali yako yote yanajibiwa na kitu kinaitwa gravitational force , nguvu inayovuta kila kitu kuelekea centre ya dunia , hili halina ubishi maana tunajionea wenyewe hii force ipo na ukiikwepa basi unaelea juu juu bila direction , ndege huruka kwa njia ya kuondoa force hii, unapokunywa soda kwa mrija ile soda inapanda kwenye mrija kwa kuodoa gravitational force upande mmoja ndo maana ukiweka mrija na ukaziba mdomo wa soda vizuri soda haipandi kwa hiyo hii force ipo. Hujaelewa niulize nikupe mifano mingine mirahisi utaelewa tu.


Kwa nini ndege zikiruka hazipotei ? Hizi ndge za kawaida haziwezi kuruka nje ya dunia (dunia ni anga , ardhi na bahari) hivi vyote ni physical materials yan anga lina hewa ambayo tunai feel na ina uzito kwa hiyo nayo ni sehem ya dunia, kumbuka dunia inazunguka na anga lake yan hewa ya mbeya huwezi ikuta iko ulaya itaendelea kuwa mbeya hapo hapo ni kama uko kwenye gari hewa ya ndani inatembea na gari labda ufungue madirisha. Ndege zinatembea kwa urefu toka ardhini na iki maintain urefu ule ule itajikuta inazunguka dunia hivyo kutua sehem husika (ndege zinafuata mdura wa dunia hazinyooshi nje ya dunia) na ndo maana ukiingalia kwa mda mrefu inakuwa kama inazama na kupotea kwa maana kwamba imeenda upande mwingine wa duara/dunia. pia ndege zinatumia mda na mawasiliano mda wote na rubani anafanya adjustment accordingly. Kifupi ndege hainyooshi bali inazunguka sema huwezi kuona maana dunia ni kubwa sana kiasi kwamba ukubwa wake hauingii hata akilini.

Issue nyingine ni kwamba tunaelewa vitu kwa kitu kinaitwa relativity yan kulinganisha, mfano huwezi sema hili jiwe ni kubwa bila kuona mengine madogo , huwezi kusema kule ni juu bila chini kuwepo , huwezi kusema uko ndani ya gari bila kuona au kutambua nje ya gari , huwezi kusema gari linatembea bila kuangalia nje , ukiangalia ndani mwende wa gari hutauona , mfano magari mawili yanayoenda direction moja yakitembea kwa mwendo sawa abiria wa magari hayo watajiona wamesimama nafikiri hii ishawahi kukutokea , sasa kwa upande wa dunia hatuna cha kulinganisha nayo ndo maana huwezi kuona ukubwa wake au umbile lake kwa macho .

Maji hayawezi kumwagika, sasa yatamwagika wapi ? Kumbuka nimekwambia kila kitu kinavutwa kwa huyo maji nayo nayavutwa hapa nimeweka vidoe ya watu waliosehem isiyo na gravity uone maji yanavyokuwa



Hamna upande wa dunia ulio juu wala chini , hizi ni assumption zetu tu lakini kisayansi hamna hicho kitu , vitabu vyote huwezi kukuta eti upande huu ni juu , hiyo tumetengenza sisi tu kwa kuangalia angani ila amini hamna juu wala chini

Mkuu huenda atakua amekuelewa
 
Awareness ya color codes, kumbuka kemikali ndio zinazoleta maradhi na ugumba kabla kutumia kitu angalia kwa makini.

Mwaka huu mwezi wa 6 nilikuwa mkoani kagera wilaya ya Ngara nilienda kijiji kimoja ambako kuna vijana nawafahamu lakini kilipita kipindi cha miaka 3 sijawatembelea
Nilicho kikuta ni cha kustaajabisha

Vijana wamenenepa sana kupita kiasi! nikauliza kuliko mpo hivi?!!!!!

Majibu!!!

Tumetumia dawa za uzazi za wanaume tunaletewa na wakongomani wanatoa china ndio zinatufanya hivi

Niliumia hivi kweli serikali inafaham?
 
Back
Top Bottom