Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Mtoa mada nina swali nasikia universe is expanding at the speed of light my question is where is it expanding into?
 
Mtoa mada nina swali nasikia universe is expanding at the speed of light my question is where is it expanding into?
According to Stephen Hawkings universe is expanding into itself!complex answer which need clarification but simply nafkr nmekujibu
 
1. ki uhalisia sayari nyengine sio kama tufe wala hazina udongo wa kwenda kutua kama ilivyo hapa duniani,wengi wetu hatujapata kuziona sayari kwa macho yetu,mara zote tunaziona kwenye computer tv na kwenye vitabu,hizi picha zote huo sio picha halisi ni michoro tu, lakini kama utaviona kwa telescope yako mwenyewe havipo kama tufe ni maduara tu.

2. kupatwa kwa jua na mwezi, kwa kweli mimi sijui jua linapatwa na nini lakini haioneshi hata kidogo kuwa ni mwezi ndio unakwenda kati baina ya jua na dunia, mara nyingi tukitazama kupatwa kwa jua tunatazama kwa mitazamo ya mafundisho tulopewa ndio mana tunahisi ni mwezi ndio unaingia kati kulipata jua.
lakini kama utaangalia kwa jicho lisilo na mafundisho utakuta mwezi haupo kabisa katika eneo la kupatwa kwa jua,mwezi hauonekani ukiingia au kutoka kwenye usawa wa jua,kinaonekana kivuli tu kinaliziba jua,kama mwezi ndio unalipata jua na mwezi ni tufe kubwa kama dunia ilivyo basi tufe lingeonekana linaingia kwenye usawa wa jua na kutoka lakini hivyo sivyo inavyo onekana,panakuwa na kivuli ambacho kimo ndani ya jua lenyewe kinaliziba jua na kivuli kinaondoka mwezi hauonekani kabisa kuingia kwenye anga za jua na kutoka

mkuu swaali jingine kama kupatwa kwa jua hakusababishwi na mwezi wanasayansi wanawezaje kutabiri exactly muda wa kupatwa kwa jua.
 
Yaah ni kweli wakati mwingine ntakuja na Uzi kuhusu time and big bang theory
Kabla ya kwenda huko hebu tuhadithie kuhusu "super massive black holes" halafu njoo kwenye neutron stars ikiwezekana gusia na super novae zinazoform blackholes.
 
swala hili limejitokeza kwa wachangiaji wengi natarajia wanaweza kulisoma hapa

jua halizami wala haliendi chini ya dunia,linazunguka juu ya uso wa dunia, mzunguko mmoja unachukua masaa 24,ki ilivyo hasa kila kitu kipo kama tunavyokiona na tunavyokihisi, hatuhisi dunia kuzunguka hivyo ndio ilivyo haizunguki,jua lipo juu ya utosi hivyo ndio ilivyo jua haliko 93 mil miles,lipo juu ya utosi.

ngoja nitoe mfano mmoja hapa wa kuchemsha bongo,wengi wetu tunaweza tusifahamu lakini tujaribu

umbali wa jua kutoka duniani ni 93mil miles
mwangaza wa jua kufika duniani unachukua 8 mitutes, kwa hio umbali wa jua ni 8 light minute
tuchukulie kama jua lina umbali wa mara mbili zaidi 93x2=186mil mile, hapa tutaliona jua nusu ya lilivyokuwa kabla,ambapo umbali wake utakuwa 8x2=16 light minutes away
tukifanya umbali wa mara tano ya hio hesabu jua hatutaliona kabisa 93x5=465 mil miles away, sawa sawa na 8x5=40 light minutes away

swali linakuja hapa
katika nyota zote zilizo angani ambazo tunaziona,iliyo karibu sana ni 4.2 light years away

ikiwa tungeshindwa kuliona jua kwa umbali wa 40 lights minutes away, tunaziona vipi vyota zilizo na umbali wa 4.2 light years away
yani we jamaa ni kilaza kweli , alafu kibaya zaidi hujijui kama wewe ni kilaza.

hivi haujui kama jua ndo smallest star.
 
Wanasayansi wengi wamekuwa wakielezea ulimwengu wetu kuwa ni dude kubwa mno lisilo kuwa na mwisho(means the universe size is almost infinity)
Leo hebu tuchambue na kuangalia ukubwa wa dunia yetu
Kabla ya kuendelea naomba kuelezea kidogo kuhusu Galaxy, huu ni mkusanyiko wa nyota,sayari na vyote vilivyoko katika ukanda husika,Galaxy hutofautiana sana kwa ukubwa ila ya kati inakadiriwa kuwa na nyota bilioni 400 na mabilioni ya sayari,Galaxy yetu inaitwa milky way ambayo ina mabilioni ya sayari na na nyota,hebu sasa twende kwa picha
1.Hii ni dunia yetu,sehemu tunamoishi
e7986b4df1a6dcfd7bd4dbac927c3958.jpg

2:Huu ni mfumo wetu wa jua,solar system
c9cc15d9ceacb485408d64d38227c771.jpg

3.Huu ni umbali kutoka duniani mpaka mwezini
6648e54ecb397ba1b7796197f9719faf.jpg

katika umbali Huu wa mwezini mpaka duniani waweza Panga sayari Tisa na zikaenea!
b9d1c30e8299e0fe4170436c29090c2e.jpg

4.Hii ni sayari ya Jupiter ni kubwa sana
0b66cffcacac5cd083e22849f048212a.jpg

Hicho kidoti kidogo amerika kaskazini
a4af9f3b32530281e4184ea8d20c8193.jpg

5.Huu ni mwonekano wa Saturn ukiweka dunia katika ringi zake,mwonekano wa dunia sita katika ringi zake
d363ce0def4d123c246389f455408808.jpg

6.Hebu tulinganishe Jua na dunia,
Jua 1=dunia milioni 1!!!,yaani dunia kwenye jua inaingia mara milioni 1
b18457c5d884695615d8095dcc497ccb.jpg

7.Hii ni picha maarufu ya dunia iliyochukuliwa kutoka maili bilioni 4 ,hicho kidoti kidogo ni dunia
5d5ee427832ee423816e3dbd1bc9772d.jpg

8.Tuliangalia kuwa katika jua dunia huingia Mara milioni moja
fcb3df21189b9d9ea6926a457d1042a6.jpg


Hebu tulinganishe jua na nyota zingine
9.Kuna nyota inaitwa Articus ni Mara 16,000 ya jua,hicho kidoti kidogo ni jua
64b433d6d1d3b05c1731f809a5063a62.jpg

10:Kuna nyota inaitwa Alpha scropti ni kubwa Mara 690 milioni kuliko jua,hicho kidoti kidogo ni jua
a2b368b17cdfd5177a52ac4d12436df6.jpg

11.Kuna nyota inaitwa VY Canis major ni kubwa Mara bilioni 2.9
Kuliko jua,hapo usisahau kulinganisha jua na dunia!
fef7532d17719d0420b80a1a605613da.jpg

Hicho kidoti kidogo cha mwisho ni jua
12.Hebu tuangalia galaxy yetu,ni ukanda wenye nyota zaidi ya bilioni 400 pamoja na sayari zake
Ndani ya sekunde moja mwanga huzunguka dunia Mara saba na nusu,ukienda kwa speed hiyo ulitakuchukua miaka 100,000 kutoka katika ukanda wetu(milky way Galaxy)
13:milky way Galaxy ni kubwa sana,na hyo doti ya njano ni nyota tyu ambazo unauwezo wa kuziona kati ya mabilioni ya nyota
cb99f170004423544bae1d96e9f873eb.jpg


Najua umeshawishika kuona milky way Galaxy(ukanda wetu wa nyota ni mkubwa sana lakini nikuambia kuwa ni kidude kidogo sana ukilinganishwa na dubwasha kubwa la Galaxy liitwalo 1C1011,galaxy Hii ukienda na speed ya mwanga ambayo nilikueleza kuwa itakuchukua miaka 6,000,000
2e1681e59adcd87b3035e72beebb87d0.jpg

Milky way ni hicho kidoti kidogo kulinganisha na 1C1011 Galaxy

14.Hebu tuchukue Hubble telescope, picha Hii ina mabilioni ya Galaxy na kila Galaxy ina mabilioni ya nyota na sayari mabilioni pia na kila doti unayoona hapo ni galaxy nzima
270ca90c1ef5a2a0ab539407f434105a.jpg



Oooh umechoka ,subiri
Hii ni dunia
06314a6385d6488cc978c347e1c4ca27.jpg

Tukizoom zaidi Hii ni solar system
07554949025788fdc0f74b2d2fe6e3a9.jpg

Tukizoom tena tunaona majirani katika solar system katika picha nzima ya galaxy
f6bb8c4146cf6f0f0ef7117edcc249d1.jpg

Tukizoom tunaona milky way galaxy ni hicho kidoti!
d1d08b6ad4f60041a5ab3166a3e29af2.jpg

Itaendelea...
Tuongezee ujuzi
 
Kabla ya kwenda huko hebu tuhadithie kuhusu "super massive black holes" halafu njoo kwenye neutron stars ikiwezekana gusia na super novae zinazoform blackholes.
Super massive black holes ni matokeo ya nyota kucolapse inatengeneza kani kubwa ya uvutano ambayo inauwezo wa kumeza hadi mwanga,
 
elimu ya science ya ulimwengu ni elimu ya kusadikika haina ukweli wowote wala haiingii akilini kama tutakuwa na uwezo wa kufikiri,binadamu hatuwezi kuishi kwenye dunia yenye shepu ya chungwa,na kama ingekuwa kweli tungekuwa tunaweza kuishi kwenye milima mikubwa kwa kuganda pembezoni mwa milima bila ya kuanguka.

dunia haiwezi kuwa duara na maji kuganda nje ya dongo la dunia na kisha iwe inaruka angani kwa speed na masafa tunayoambiwa hii haiwezekani kabisa,katika uhalisi wa maji hayawezi kupinda kufata umbo la nje la kitu chochote,maji popote yalipo ni lazima yawe level hio ndio sifa kuu ya maji,na ndio mana tunatumia lever za maji kujengea majumba ili kupata usawa wa nyumba

jua na mwezi ni vitu vipo sawa sawa na umbali wake kutoka ardhini ni sawa sawa kama tunavyoviona,pia kama utaangalia jua na mwezi utakuta vipo ndani ya wingu la blue havipo umbali wanaosema,pia mwezi hauna ardhi ya watu kwenda kutua,tukiwa hapa tunauona kuwa mwezi ni kitu kinapitisha mwangaza(transparent),utazame mwezi mchana utaliona wingu la buluu kwenye mwezi na usiku utaona wingu jeusi kupitia kwenye mwezi.

tumefundishwa gravity ndio inayotuzuia tusipeperushwe na speed ya dunia hiki ni kichekesho kikubwa,kwanini gravity haiwezi kuzuia mabofu na mifuko ya plastic na ni vyepesi sana, kwa ufupi hakuna gravity ni vitu vizito vinabaki ardhini na vyepesi vinakwenda angani

hatuwezi kufahamu kila kitu lakini upo uwezekano kuwa ukubwa wa dunia ndio hauna mwisho(infinity) wala sio duara na haizunguki wala kuruka,uhalisi ni kama tunavyoona kila siku dunia ipo tuli imetulia.
Kaka pole sana..bado uko mbali.
Taratibu utaelewa
 
Hebu tofautisha kati ya supermassive na blackholes za kawaida.
Super massive black holes hizi inasemekana zilikwepo kwa miaka mingi tangu ugunduzi mkubwa kuhusu masuala ya anga na wanasema ina mass kubwa sana na hutokea Mara nyingi katikati ya galaxy,katika galaxy yetu ya milky way tuna massive black hole pale kati kabixa,na uwepo wa kani kubwa ya uvutano wa black holes ndo unafanya sayari zote na nyota zilipo,black holes ndo zinatufanya tuwe hapa tulipo

Black holes za kawaida hizi zina mass ndoto na ni matokeo ya nyota kucolapse,pia sio kila nyota huunda black hole,

Black holes hutambuliwa kwa kuangalia mzunguko wa nyota sehemu Fulani ya ulimwengu,mfano nyota nyingi zikizunguka sehemu Fulani tuna detect black holes kwan zina kani kubwa ya uvutano,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom