Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

Nje ya dunia hakuna oxygen hayo mafuta yanawaka vipi au na oxygen unabeba
Oxygen ndio inabebwa lkn kwa mfumo wa kimiminika, vyombo ivyo ving utumia liquid oxygen kama mafuta rocket engines. Lkn vipo vya Aina nying sasa ni propulsion techniques tofauti kutokana na Aina ya mafuta unayotumia
 
Hebu fafanua hii dark energy
Ni nguvu ambayo iligundilika sio kitambo sana, sifa yake kubwa inapanua au inaongeza ukubwa wa galaxy or universe.

Galaxy and it's contents are held together by gravity forces that keep everything in its position.

So dark energy tend to pull things away from the sun (our star), the galaxy is expanding everyday in cm's coz dark energy ina increase kila ck,

Hii itapelekea sayari kuvutwa nje ya galaxy na kupotea kabisa this lead to a theory in death of planets,
 
Ni nguvu ambayo iligundilika sio kitambo sana
Gravity inaweza ikafafanuliwa kivitendo kwa mfano unaweza jiwe ukapandanalo gorofani na ukaliachia na linaenda chini haliendi juu hii dark energy inafafanuliwaje hii?
 
Oxygen ndio inabebwa lkn kwa mfumo wa kimiminika, vyombo ivyo ving utumia liquid oxygen kama mafuta rocket engines. Lkn vipo vya Aina nying sasa ni propulsion techniques tofauti kutokana na Aina ya mafuta unayotumia
Sawa mkuu
 
Gravity inaweza ikafafanuliwa kivitendo kwa mfano unaweza jiwe ukapandanalo gorofani na ukaliachia na linaenda chini haliendi juu hii dark energy inafafanuliwaje hii?
Sorry nlikua busy kidogo, iko hv ili kuelewa vzr dark energy, uwe na force mbili moja inavuta planets towards the sun, pia ina vuta content za sayari husika towards it's centre.

Alaf nyngne ambayo ndio dark energy inavuta kutoka centres inapeleka pembeni.

Kwahyo sayari ya kwanza kufa ni Neptune na nyngne accordingly
f5fa0179ce5a02f30c3cca83af0decdc.jpg
 
Mkuu unaweza kutuelezea hii kitu "wormholes"?
Oke, warm holes ni njia Kati ya sehemu mbili katika universe, Hii theory alijarib kuielezea Einstein, 2seme ni km shortcut kutoka sehemu moja kwenda nyngne kweny universe.
 
Oke, warm holes ni njia Kati ya sehemu mbili katika universe, Hii theory alijarib kuielezea Einstein, 2seme ni km shortcut kutoka sehemu moja kwenda nyngne kweny universe.
Inakuajekuaje wakati mwanga unatumia mamilioni hadi mabilioni ya miaka kutufikia halafu itokee shortcut?how?
 
Inakuajekuaje wakati mwanga unatumia mamilioni hadi mabilioni kutufikia halafu itokee shortcut?how?
Bado kuna mzozo mkali kuhusu ilo, lkn zipo theory kibao za kuelezea worm hole lkn none is in practical. Ni kama teleportation ilivyokua lkn hapa ni una tafuta njia iliyoko waz Kati ya point moja kwenda nyngne, so kabla Ile njia haijafunga unapita. Sasa kuna uhusiano ulizuka xn kua kuna baadhi ya aliens km ulishawasikia wanaitwa shadow man, kua wana2mia iyo njia. Vifaa ving vilishwa tengenezwa ili kudetect warm holes ila nyng huwa Zina funga baada ya muda
 
Kwa kuongezea ni kua universe ni curve in nature xx kuliko uzunguke umbali mrefu unaweza pata shortcut lkn cio kwa speed of light
 
Kwa kuongezea ni kua universe ni curve in nature xx kuliko uzunguke umbali mrefu unaweza pata shortcut lkn cio kwa speed of light
Yaani wana maanisha mbali panaweza kuwa karibu hata hiyo theory ya curvy haijawa rasmi.
 
Hapa tunapigwa za uso.Nipe formation ya neutron star zinatokana na nini?
Ok, kuna theory moja inaitwa supernova or death of a big star. Hii theory inaeleza kua nyota zinapo collide almost it's matter is destroyed but only in big stars the core remains, so izo cores ndo neutron star
 
Back
Top Bottom