Kwa picha: Ufahamu kuhusu Ulimwengu

umewa

Umewai kupanda ndege mkuu haya majibu yote utayapata ukipanda ndege plane
Ameandika kama vile ametoka usingizini..Mambo kama hayo ndio yanatufanya tushindwe hata kutengeneza njiti za kiberiti.Hata karatasi za kuchambia..huko watu wameumiza vichwa kujua nje ya dunia yet kuna nini.Watu wangekuwa na mawazo ya jamaa kusema ni kufikirika basi hata haya magari,simu,whatsapp na JF isingekuwepo.Ndio Utajua kwanini waafrika tupo hivi mpaka leo.Ametoa mawazo ya 84% kwa 16% then 50 ..50 mgao faida.Watu weupu watazidi kutupita tukizidi kuwa hivi.
 
Anza na gravity waves...hebu tufafanulie katika lugha ambayo wasomaji watakuelewa.
Gravity waves zimegundulika hv karibuni, zaman ilikua ni mjadala usio na ushahid wa kutosha, 1916 Einstein alitabiri kuhusu kuwepo kwa gravity waves transmission of gravity force is by waves, but recently mwaka huu i think ushahid kutoka kwa gravity wave detectors zaid ya mbili zimeweza kugundua waves exist
 
Mkuu Illakwahhi, ishia tu hapo wala hakuna haja ya kuendelea. Wanafunzi wa Yesu walimuuliza katika kutaka kujua zaidi na aliwaeleza kuwa "Ninayo mengi ya kuwaeleza lakini hamtaweza kuyaelewa kwa sasa, ila nikirudi katika Utukufu wa Baba nitawaeleza hayo" (literally quoted). Naamini waliyokuwa hawawezi kuyaelewa ni sawa na haya japo yeye (possibly) aliyajua.

Alafu katika upana mkubwa kiasi hiki wa kufikiri anatokea binadamu anammiminia mwenzie risasi eti ndiye anazuia madendeleo. Haiwezekani hili system zima ukajidanganya kuwa tuko peke yetu na Tanzania ndipo bora! We have to come out of our boxes!
 
Gravity waves zimegundulika hv karibuni, zaman ilikua ni mjadala usio na ushahid wa kutosha, 1916 Einstein alitabiri kuhusu kuwepo kwa gravity waves transmission of gravity force is by waves, but recently mwaka huu i think ushahid kutoka kwa gravity wave detectors zaid ya mbili zimeweza kugundua waves exist
Na ukiongelea waves ina maana zinasafiri kwa mwendo gani kama mwanga au sauti?
 
labda tu nibaki na pointi ya mungu kuumba dunia vinginevyo no.ingezunguka kweli siku nyingine na sisi tungejikuta south africa,nyingine ni porojo za kidhungu tu.
 
Haya ni mambo yakufikirika tu chombo kwenda km 400 b na hakuna hewa mafuta kinatunza wapi
Consumption ya mafuta ukiwa nje na ndan ya Dunia ni tofauti, kutokana na kupungua nguvu za ukinzani km upepo na gravity. Mafuta kidogo yanafanya kaz ndogo na pia mwendo kasi wa chombo unaongezeka
 
Consumption ya mafuta ukiwa nje na ndan ya Dunia ni tofauti, kutokana na kupungua nguvu za ukinzani km upepo na gravity. Mafuta kidogo yanafanya kaz ndogo na pia mwendo kasi wa chombo unaongezeka
Nje ya dunia hakuna oxygen hayo mafuta yanawaka vipi au na oxygen unabeba
 
Inamaana kama kuna mawimbi ya gravity kwenye space ina maana ulimwemgu unaelea?
Ulimwengu ukimaanisha universe au Dunia? OK galaxy ina float with it's contents, balance ya gravity force na dark energy ni muhimu kwa survival ya planets na galaxy kwa ujumla
 

Similar Discussions

76 Reactions
Reply
Back
Top Bottom