Kwa pamoja wana JamiiForums karibuni tujifunze Kiingereza kilichoenda Shule ya Kuzimu cha Mwalimu wetu dr namugari

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,573
108,927
'Otherwise these is absolutely rubbish;' by PhD Holder and JamiiForums Great Thinker dr namugari

Tafadhali Wordsmiths Wengine akina jiwe angavu na Division One Mimi GENTAMYCINE nataka Kukijua hiki Kiingereza Kibovu cha huyu Member hapa Jamvini JamiiForums je, naweza kupata tu Mawasiliano yake ili nami nikajifunze Kwake na nije Kutia Aibu hapa mbele ya Intellectuals Waliotukuka?

Sehemu pekee tu GENTAMYCINE niliyovutiwa na Kiingereza chake cha Kujiaibisha ni hapa alipoandika 'these is' basi.....!!

Leo hatimaye Mbuzi kafia kwa Muuza Supu. Mkiambiwa msiwe na Viherehere na Msichokoze Waliobarikiwa / Tuliobarikiwa mno na Mwenyezi Mungu akina GENTAMYCINE hamtaki Kusikia.

Haya sasa aibikeni tu na hapa bado.
 
Hivi unahusuduje lugha ya binadamu mwingine?
TZ kina kazi gani?
Nani kashindwa kuishi kwa sababu hajui kingereza?
Kwa hio wewe ni muingereza ?
Tusemeje kuhusu wazungu wanaoongea kiswahili kibaya?
Kingereza kinachoongewa hapa TZ sio kile kinachoongewa kule USA au England.
Yaani hata wanaojifanya wanajua kingereza wanaongea hovyo, marafudhi ya hovyo.
 
Hivi unahusuduje lugha ya binadamu mwingine?
TZ kina kazi gani?
Nani kashindwa kuishi kwa sababu hajui kingereza?
Kwa hio wewe ni muingereza ?
Tusemeje kuhusu wazungu wanaoongea kiswahili kibaya?
Kingereza kinachoongewa hapa TZ sio kile kinachoongewa kule USA au England.
Yaani hata wanaojifanya wanajua kingereza wanaongea hovyo, marafudhi ya hovyo.
Nadhani kusoma lugha ya binadamu mwingine sio kusujudu. Ni kujifunza yale anayoyajua binadamu mwingine. Na huo sio ubaya.
 
Back
Top Bottom