Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa kawaida inafahamika mwanaume ndo bread winner.....inakuwa ngumu mtu anajituma kutafuta pesa ili atunze mtoto wa mwanaume mwenzie lakini yeye akiwa na mtoto anachukulia simple kwa sababu pesa anatafuta yeye we mwanamke huwezi kuwa na sauti sana

This is not about the money my dear its about the love

mbona unakuta hata mama huyo ana kazi na hamtegemei mwanaume kihivyo??
 
kwa ulimwengu wa sasa wanaume inabidi wabadilike kwani kumkuta mwanamke na mtoto ni jambo la kawaida kama ilivyo kwao kuwakuta na watoto

Mie mwanaume nilienae, amempokea mwanangu tangu yuko tumboni na mpaka leo hii ana 7 years niko nae mpaka mwanangu anajua kuwa yule baba yake....
Ila ngoma iko upande mwingine....mawifi waliweka ngumu, lakini mwisho wa siku, ilibidi wakubali matokeo maana wakinikuta nami kisiki cha mpingo.

Ila masai dada, MAWIFI na MAMA WAKWE NDO TATIZO.
 
Last edited by a moderator:
took more than 20years to confirm my sister from another father.......am proud of her and love her dearly.......

aiseee BABA YAKO ANASTAHILI TUNZO na heshima kubwa
 
Dah sio wote aise ila kwa upande wangu sija bahatika kukutana na mwanamke mwenye watoto wa nje na ikitokea bas nita wa care kama wanangu wa kuwazaa coz mi mwenyew nimelelewa na baba wa kufikia na nimepewa elimu,malezi sawa bila kuonyesha ubaguzi kwa watoto wote japo alisha fariki lakini nilimueshimu kama baba na baba alie nizaa simjui mpaka leo. So mtu kama mimi sioni kama watoto wa mwanamke ni kipingamizi cha yeye kuishi na mimi na hata kama ana watoto wa 3 nitamshauri awa lete tuishi pamoja coz na wenyewe ni members wa familia.

umeongea neno zito sana
HAWA WANAOKATAA HAWAJUI TU KWAMBA THINGS HAPEN IN LIFE
what if baba alimkataa mtoto?
je kama baba alikufa???
 
Kwa kawaida inafahamika mwanaume ndo bread winner.....inakuwa ngumu mtu anajituma kutafuta pesa ili atunze mtoto wa mwanaume mwenzie lakini yeye akiwa na mtoto anachukulia simple kwa sababu pesa anatafuta yeye we mwanamke huwezi kuwa na sauti sana
Hebu nitumie number yako nikutumie pesa ya sikukuu....umejibu PERFECT.
Khantwe nadhani leo uko kwenye ubora wako.
 
Last edited by a moderator:
Mgirik umenikamata pabaya. Kiukweli sitakubali.
Lakini hata kama ndo imetokea, lakini kaka ndio mwenye uamuzi kwa maana yeye ndie aliyempenda yule mwanamke na ameshafahamu ana mtoto.

Mhhh....ngumu sana

ewaa!! Huo ndio mtihan tunaopata hata sisi.
Nafikiria mengi kuwa nikioa mwanamke mwenye mtoto atapata tabu tu, najua mm peke yake ndio ntakuwa msaada kwake wala sio wifi zake wala mama mkwe wake,.
Huyo mwanamke lazma atachukiwa na ndg zangu wote, kunaleo na kesho labda mm nmesafiri ile safar ya kudumu basi mkew wangu atakuwa kinyago mbele za mawifi zake atakuwa mtu mwenye kutukana na kutengwa. Sasa kwann tufikie huko? Soln ni kuoa asiye na mtoto
 
Last edited by a moderator:
Watu wengi hawa wakubali watoto wa wanaume wengine kwasababu tamaduni za kibantu mmiliki wa mtoto ni mwanaume kwa hiyo kuchukua mtoto wa wanaume mwingine ni sawa kabisa nakuchukua mali za mtu mwingine na hiyo ndipo kwenye shida ila kwenye zile tamaduni ambazo mtoto ni mali ya mama au wajomba hakuna issue ikichukua mama unamchukua na mali zake. Hayo tu kwa leo

mpaka mwanamke aje na mtoto kwao
au awe nae ni wazi hana msaada mwingine
 
This is not about the money my dear its about the love

mbona unakuta hata mama huyo ana kazi na hamtegemei mwanaume kihivyo??
Unapozungumzia kuishi na mtu unazungumzia ku-share majukumu. Kumbuka mtafutaji mkubwa(kwa familia nyingi) ni baba. nadhani Khantwe kajibu vizuri sana
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom