Nanaa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,893
- 3,712
Na ukimshauri munagombana tena na siraha anabeba, sasa naisi kafanywa vibaya huyu kijana.. aaambiliki
Kapewa vitu adimu kadata. Ila kuna mkaka namjua kaoa mwanamke ana watoto watatu, na yeye kajiongezea wa NNE na life linasonga. Wanga tumeteta tumechokaa....