masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 17,385
- 19,309
- Thread starter
- #421
Sio hisia hisia Fulani...ndivyo ilivyo mkuu.
yaa mind set yaani ni bora uwe single kama ushazaa
ila ukizaa umngnganie aliekuzalisha till death do you apart
Sio hisia hisia Fulani...ndivyo ilivyo mkuu.
Kumpata mwenye bikra ni issue ni bora tuchukue hawa hawa ambao wamekimbia kilometer chache make aliyekwsha shusha engine ukisoma kilometer zake ni km laki 3 hivi ..ss mchkue uweke ndani km hajaanza kuchemsha mara kakata feni belt yaan kila siku garage.
si unaona sasa upo pamoja nasi kuwa mwanamke haachani na mzazi mwenzie ukioa ujue umeongeza idadi ya ama 1.watarajiwa wa magonjwa ya pressure au wafungwa wa murder siku za mbele... ndo maana mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine kwangu namuogopa kama CCM.
Nafikiri hata wanawake wenyewe mnachangia hili suala kwa kiasi kikubwa sana hapa namaanisha Dada zetu na mama zetu.
Nakutolea mfano,shangazi yangu(Dada Wa baba) alipendwa na mjomba na wakaanza kuishi wote kabla ya kufunga ndoa.lakini shangazi yangu alikuwa ameshazaa na mwanamme mwingine.amini husiamini mama mkwe wake na mawifi zake walimchukia sana kisa kwanini kaka yao amemchumbia mwanamke mwenye mtoto.nakumbuka ilibidi yule mtoto Mimi namwita binamu baba yangu amchukue tuishi naye lakini chuki hazikuisha kwa shangazi yangu.
kumbe issue ni simple anayekuzalisha muue ili upate mme
yaa mind set yaani ni bora uwe single kama ushazaa
ila ukizaa umngnganie aliekuzalisha till death do you apart
wala sipo pamoja na wew.....nimekuuliza kama swala ni kukumbushia hauoni.kuwa hata mtu.anaweza kukumbushia na ex wake......hata kama hajazaa nae.....
Ila kwa wewe double standard itahusika....naweza badili maamuzi??? Ndukiii
kumbe issue ni simple anayekuzalisha muue ili upate mme
hahahahh
mi sasa hivi nimeacha kabisa swal zima la kutoa papuchi
by the way sina mtoto na namtamani sana kwa hamu kubwa kama upo tayari subiri kipindi changu cha kutokugusa gegedo kipite nitakutafuta
ila sina mtoto hata wa kusingiziwa
Yaaani wewe ndo haswaaa unaesakwa kabisa.......itunze ije ikutunze.......mnato inamata sana asikwambie mtu
le ni siku ya 5 mpaka siku 200 zipite
zimebaki siku 195 kama utasubiri
ila usiwe na mtoto maana kwa coment hapo juu wenye watoto waoane wao kwa wao
Mkuu hiyo nayo ni case nyingine...Dada amejibu hoja iliyopo mezani na sio hio ulioleta wewe.
utaoaje mwanamke aliye kwisha zaa bwana ??. kuoa mwanamke aliyezaa ni sawa na kununua shati la mtumba wakati ya dukani yapo