grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Kwa upande wa wanaume lipo hivi
1.Uwezekano wakukutana kimwili na huyo mwenye mtoto ni MDOGO sana kwa sababu wanaume wengi hufanya maamuzi yao wakiwa na busara kuliko wanawake ambao hutawaliwa na hasira.
2.Kuwa na share ya kimaongezi kuhusu malezi huwa ni ndogo na mara nyingi mtoto humfuata mama ake kumsalimia na siyo mama kuja nyumbani kumsalimia mtoto.
3.Uwezekano wakugombea mali haupo zaidi nikulinda na kama ikibidi kugawana wanagawana kwa sababu anatokana na origin ya baba na ana haki zakupata urithi wa baba yake.
4.Mtoto anatokana na damu ya baba,na hapo ndipo tunasema kwa asili anakuwa na tabia za baba ake au ukoo wake,kwa hiyo hata kama akiishi na watoto wengine waliotokana na mama mwingine haina madhara kwa sababu damu ni moja.
Hii imekaa vizuri. Big up mkuu