Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
kumbeeee ndio maana watu wanatoa mimba hadi zifike 50.
anyway liwalo na liwe mwanangu simwachinyuma kisa mwanaume hampendi. mwanaume anaweza kukupenda leo kesho akakuchoka kisa kapata mwingine lakini mwanangu hata nikiwa nao 100 ntawapenda.
anyway liwalo na liwe mwanangu simwachinyuma kisa mwanaume hampendi. mwanaume anaweza kukupenda leo kesho akakuchoka kisa kapata mwingine lakini mwanangu hata nikiwa nao 100 ntawapenda.