Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Mwanamke mwenye mtoto ni rahisi sana kurudiana na mwenye mtoto kuliko mwanaume mwenye mtoto hiyo ndo hofu yetu kubwa

mkuu una uhakika na hili...like ushashuhudia au ni mindset tu
 
umechanganua vyema sana

je hilo haliwezi kuaa kwa mwanaume pia endapo atakua ana mtoto na mwingine?
Kwa upande wa wanaume lipo hivi
1.Uwezekano wakukutana kimwili na huyo mwenye mtoto ni MDOGO sana kwa sababu wanaume wengi hufanya maamuzi yao wakiwa na busara kuliko wanawake ambao hutawaliwa na hasira.
2.Kuwa na share ya kimaongezi kuhusu malezi huwa ni ndogo na mara nyingi mtoto humfuata mama ake kumsalimia na siyo mama kuja nyumbani kumsalimia mtoto.
3.Uwezekano wakugombea mali haupo zaidi nikulinda na kama ikibidi kugawana wanagawana kwa sababu anatokana na origin ya baba na ana haki zakupata urithi wa baba yake.
4.Mtoto anatokana na damu ya baba,na hapo ndipo tunasema kwa asili anakuwa na tabia za baba ake au ukoo wake,kwa hiyo hata kama akiishi na watoto wengine waliotokana na mama mwingine haina madhara kwa sababu damu ni moja.
 
Kwa upande wa wanaume lipo hivi
1.Uwezekano wakukutana kimwili na huyo mwenye mtoto ni MDOGO sana kwa sababu wanaume wengi hufanya maamuzi yao wakiwa na busara kuliko wanawake ambao hutawaliwa na hasira.
2.Kuwa na share ya kimaongezi kuhusu malezi huwa ni ndogo na mara nyingi mtoto humfuata mama ake kumsalimia na siyo mama kuja nyumbani kumsalimia mtoto.
3.Uwezekano wakugombea mali haupo zaidi nikulinda na kama ikibidi kugawana wanagawana kwa sababu anatokana na origin ya baba na ana haki zakupata urithi wa baba yake.
4.Mtoto anatokana na damu ya baba,na hapo ndipo tunasema kwa asili anakuwa na tabia za baba ake au ukoo wake,kwa hiyo hata kama akiishi na watoto wengine waliotokana na mama mwingine haina madhara kwa sababu damu ni moja.

mkuu yote hayo yanaweza yakawa possible kwa wote wawili
 
Wengine sio mpango wa MUNGU aisee yaani mtu arukeruke afanye umalaya ajazwe mimba halafu useme mpango wa MUNGU.
Mpango wa MUNGU ni mtu ajitulize mpaka wakati wa kuoa/kuolewa na haya matatizo ya kuzalia nyumbani na kuzalishwa kabla ya kuolewa yasingekiwepo.

Aaasante sana
 
Naweza kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa kigezo kimoja tu: "awe amefiwa na mumewe"...!

Kama amezalia nyumbani katu asilani siwezi..!
 
Naweza kuoa mwanamke aliye na mtoto kwa kigezo kimoja tu: "awe amefiwa na mumewe"...!

Kama amezalia nyumbani katu asilani siwezi..!
unaeza ukatoa sababu hapa chini
 
Kuna ile tukumbushie mzazi mwenzangu.. ni sheeeda.

swala la kukumbushia....hata mtu mwingine anaweza kukumbushia na ex wake.....haswa yule aliyemtoa bikra.......si unajua aliyemtoa bikra hasauliki.....kazi ni kwako......
 
Kuna ile tukumbushie mzazi mwenzangu.. ni sheeeda.

ndo maana nasema nitakae zaa nae nitamngangania kama ruba kama ataniacha basi sitataka kuolewa tena

tayari inakua watu wana hisia flani flani
 
unaeza ukatoa sababu hapa chini


Sababu ni moja tu, sihitaji matatizo ndani ya nyumba. Ndoa zina changamoto nyingi, sitaki kuongeza nyingine za kujitakia. Nadhani unaelewa. Kama baba wa mtoto amekufa, najua jukumu la kulea ni langu 100%. Hili la mtoto kuwa na baba mzazi then baba wa kufikia ni kujiongezea stress ndani ya nyumba. Nime date na single mothers, it was for fun and nothing more....!
 
Sababu ni moja tu, sihitaji matatizo ndani ya nyumba. Ndoa zina changamoto nyingi, sitaki kuongeza nyingine za kujitakia. Nadhani unaelewa. Kama baba wa mtoto amekufa, najua jukumu la kulea ni langu 100%. Hili la mtoto kuwa na baba mzazi then baba wa kufikia ni kujiongezea stress ndani ya nyumba. Nime date na single mothers, it was for fun and nothing more....!

that is nice
kila mtu ana haki ya kufanya analoona litampa furaha katika maisha

japo pia kuwadate single father nako kuna changamoto
 
swala la kukumbushia....hata mtu mwingine anaweza kukumbushia na ex wake.....haswa yule aliyemtoa bikra.......si unajua aliyemtoa bikra hasauliki.....kazi ni kwako......

si unaona sasa upo pamoja nasi kuwa mwanamke haachani na mzazi mwenzie ukioa ujue umeongeza idadi ya ama 1.watarajiwa wa magonjwa ya pressure au wafungwa wa murder siku za mbele... ndo maana mwanamke mwenye mtoto wa mtu mwingine kwangu namuogopa kama CCM.
 
Back
Top Bottom