huwa niliamua kusoma u comment kisha na sepa ila kwa hili nimeamua kuliandikia
kwanza kabisa suala hili limefungana na mila na utamaduni katika jamii , na hili swala kwa tanzania limeiathiri sana kamii yetu kwa asilimia 70. namaanisha kuwa ni wanaume wachache mno ambao ni sawa na 30% wataishi na watoto wa mwanamke aliye muoa, na pia wengiwao itakuwa kwa condition flani flani aidha kama huyo mwanamke huyo baba mwenye mtoto alifariki, au yupo mbali mno na mahali wanapo ishi au huruma nyingine au hali ya uchumi ya mwanamke (mwanamke akiwa anauwezo au ana hisa asilimia 70 zaidi ya mumewe pale ndani.
ok niache hayo nije kwenye swali , ni kwanini sisi wanaume tuna kataa hao watoto au hata muda mwingine tuna kataa hata kuwaoa hao wanawake, the main reason ni wivu,na mostly huu wivu unakuwa katika hali ya kujenga tukio la namna huyu mwanamke alivyo ishi ni huyo mwnaume mpaka kuja kuzaa (hapa namaanisha the whole process esp katika mambo ya kindoa). aidha pointi ingine ni uaminifu, huwa sie waume tunatoa imani kwa mwanamke ambaye alikuja na mtoto kwa kujenga shaka kuwa tunaweza pia letewa watoto wngine ambao sio wetu katika familia, kingine ni kwamba jamii inayotuzunga ayo inachangia katika hilo wanajamii wana dertemine style ya maisha yetu, na wao ndio wanatufanya tuwe health so ukienda kinyume nao utaambulia stress daily na lebel mbali mbali.
my point.mimi kama mwanaume , kwanza na kubali kabisa kuwa kumpata mtoto nje ya ndoa ni kosa, na pia ni vizuri kutubu,lakini pia ningependa kuijuza jamii kuwa yule mtoto huwa anabaki kuwa ni mali au thamani ya mama.hivyo basi kama itaotokea ukamposa mwanamke mwenye mtoto uka muoa ni vyema huyo mwanamke ajue kwamba mtoto wake atamlea je,ila kama mimi mposaji nitajawa na huruma tukawachukua hao watoto ni vizuri tukawajuza kwa busara na hekima ya hali ya juu kwamba wao ni watoto wa mama yao, na wa mpende mama yao, na mama yao ndo mwenye haki juu yao kwa kila kitu.
kwenye views za kimila mnaweza endelea.
kueleza kuhusu kurithi na distributions of social need katika family juu yao.
naona wajomba wamekuwa ndo wahangaikaji sana katika hili esp katika malezi
nafikiri nimejaribu kulifungua swali la huyo mdada muulizaji