sefu ally w
Member
- Dec 26, 2014
- 71
- 23
ukigundua hlo jua hujapendwa piga chin kk!
Anza kumshangaa Diamond kwanza Zari ni sawa na mama yake lakini kila kona wanasifiwa wanapendeza na watu wanajifanya hawajui kama Zari ni mama wa watoto watatu.
Unafki hautakwisha duniani.
asante kwa ufumbuzihuwa niliamua kusoma u comment kisha na sepa ila kwa hili nimeamua kuliandikia
kwanza kabisa suala hili limefungana na mila na utamaduni katika jamii , na hili swala kwa tanzania limeiathiri sana kamii yetu kwa asilimia 70. namaanisha kuwa ni wanaume wachache mno ambao ni sawa na 30% wataishi na watoto wa mwanamke aliye muoa, na pia wengiwao itakuwa kwa condition flani flani aidha kama huyo mwanamke huyo baba mwenye mtoto alifariki, au yupo mbali mno na mahali wanapo ishi au huruma nyingine au hali ya uchumi ya mwanamke (mwanamke akiwa anauwezo au ana hisa asilimia 70 zaidi ya mumewe pale ndani.
ok niache hayo nije kwenye swali , ni kwanini sisi wanaume tuna kataa hao watoto au hata muda mwingine tuna kataa hata kuwaoa hao wanawake, the main reason ni wivu,na mostly huu wivu unakuwa katika hali ya kujenga tukio la namna huyu mwanamke alivyo ishi ni huyo mwnaume mpaka kuja kuzaa (hapa namaanisha the whole process esp katika mambo ya kindoa). aidha pointi ingine ni uaminifu, huwa sie waume tunatoa imani kwa mwanamke ambaye alikuja na mtoto kwa kujenga shaka kuwa tunaweza pia letewa watoto wngine ambao sio wetu katika familia, kingine ni kwamba jamii inayotuzunga ayo inachangia katika hilo wanajamii wana dertemine style ya maisha yetu, na wao ndio wanatufanya tuwe health so ukienda kinyume nao utaambulia stress daily na lebel mbali mbali.
my point.mimi kama mwanaume , kwanza na kubali kabisa kuwa kumpata mtoto nje ya ndoa ni kosa, na pia ni vizuri kutubu,lakini pia ningependa kuijuza jamii kuwa yule mtoto huwa anabaki kuwa ni mali au thamani ya mama.hivyo basi kama itaotokea ukamposa mwanamke mwenye mtoto uka muoa ni vyema huyo mwanamke ajue kwamba mtoto wake atamlea je,ila kama mimi mposaji nitajawa na huruma tukawachukua hao watoto ni vizuri tukawajuza kwa busara na hekima ya hali ya juu kwamba wao ni watoto wa mama yao, na wa mpende mama yao, na mama yao ndo mwenye haki juu yao kwa kila kitu.
kwenye views za kimila mnaweza endelea.
kueleza kuhusu kurithi na distributions of social need katika family juu yao.
naona wajomba wamekuwa ndo wahangaikaji sana katika hili esp katika malezi
nafikiri nimejaribu kulifungua swali la huyo mdada muulizaji
Kiranga nimemuelewa hapa tunaongelea mwanamke mwenye mtoto before marriage na sio kwetu tu hata wao pia wanakuwa na watoto kabla.... Na ndio maana nikasema hapo swala ni upendo na kuchukuliana maisha yataenda...
Hii ya kwamba mwenye mtoto aolewe na mwenye mtoto sio solution masai dada
asante kwa ufumbuzi
je utaweza kumuoa mwenye mtoto?
itara umenena vizuri kabisa.. ndio maana kwenye makabila mengine kama mume umeoa mke ana watoto na unawatunza wewe basi watoto watatambulika kama wako wewe unaewatunza na ikitokea yule mwanaume anataka mtoto wake basi ni lazima akulipe wewe kwanza ndio umpe mtoto yaani kwa maana nyingine analipa mahari kwa ajili ya mtoto(hela uliomtunza toka akiwa kwako). jamani kama nilivyo sema hakuna mwanamke anayependa kubeba mimba na aitunze mwenyewe au asiolewe, basi kama kuna mtu katika ukoo wake au family yake dada yake ajazalisha akaacha au mengineyo basi aanze kutupa maweeeeeeeeeeeeee
solution ni ipi
maana mara wanasema ndugu wataingilia,mara sijui nini
nahisi ni muda wa Wanaume kufata mioyo yao
Mmhm! Sijui nianzie wapi kusemea jambo hili
mara nyingi wanaume wengi hawapendi wanawake
waliozalishwa hivyo huwa na msimamo wao
wa kutaka kuoa wasio na watoto
wanaona wale walio na watoto washazeeka
hili ndo tatizo kubwa kwa wanaume
hawajui kuwa hao watoto ni viumbe wa mungu
na wameletwa duniani kwa mlengo wa mungu
mm nashangaa sana ila ni maamuzi ya mtu
kumpenda au kupenda kile apendacho
Upendo utawale ..... Hatuwezi kuwa na mawazo sawa kuhusu hili ila ni ngumu kulitatua wanaume wameshajenga negative attitude kwetu tukiwa na watoto wanasahau nawao pia inaweza watokea.... Me nadhani tuchukuliane tu haya ni mapito dunia humu si vyema kulaumu sana kilichotokea
ni ngumu haswa.....ndiyo maana nikashauri ili usiingizwe changa la macho bora utafute bikra....mana kuna case nyingi tu.......kama hiyo yako....na nyingine nyingi.....
mimi siwezi kulea bao la mwenzangu
itara umenena vizuri kabisa.. Ndio maana kwenye makabila mengine kama mume umeoa mke ana watoto na unawatunza wewe basi watoto watatambulika kama wako wewe unaewatunza na ikitokea yule mwanaume anataka mtoto wake basi ni lazima akulipe wewe kwanza ndio umpe mtoto yaani kwa maana nyingine analipa mahari kwa ajili ya mtoto(hela uliomtunza toka akiwa kwako). Jamani kama nilivyo sema hakuna mwanamke anayependa kubeba mimba na aitunze mwenyewe au asiolewe, basi kama kuna mtu katika ukoo wake au family yake dada yake ajazalisha akaacha au mengineyo basi aanze kutupa maweeeeeeeeeeeeee
Dah sio wote aise ila kwa upande wangu sija bahatika kukutana na mwanamke mwenye watoto wa nje na ikitokea bas nita wa care kama wanangu wa kuwazaa coz mi mwenyew nimelelewa na baba wa kufikia na nimepewa elimu,malezi sawa bila kuonyesha ubaguzi kwa watoto wote japo alisha fariki lakini nilimueshimu kama baba na baba alie nizaa simjui mpaka leo. So mtu kama mimi sioni kama watoto wa mwanamke ni kipingamizi cha yeye kuishi na mimi na hata kama ana watoto wa 3 nitamshauri awa lete tuishi pamoja coz na wenyewe ni members wa familia.
bado ni tatizo kuna mkasa mmoja ulitokea wakati nipo Kigoma baba mmoja alitaka kumwacha mke kisa alikuja kugundua ana mtoto baada ya miaka kumi ya ndoa lakin alipohojiwa alidai mkewe alimkuta bikra hata yeye alishangaa kusikia na hatimae kuthibitisha mkewe kuwa na mtoto kabla ya ndoa
LABDA TUFANYE KAMA WAHINDI UNAMUOA AKIWA MDOGO UNAMLEA MWENYEWE
Ni swala la ajabu sana ambalo pengine ukilifukiria unaeza ukasikitika
ni kawaida sana wanaume kutuambiwa wana watoto hata watatu na wenyewe kuona kawaida sana bila hata kutushawishi kwamba utaishi na mwanangu
yaani wao uchukulia kawaida sana sisi kuishi na watoto wao bila kuuliza chochote na wao huona sinkikwazo chochote na pindi utakapokionesha basi unaonekana Mkatili unaonekana wewe sio mke mwema(JAPO KUNA WANAWAKE HUKATAA ) ila sio wengi
SASA IJE SISI NDO TUNA WATOTO
wanaume wengi hukataa kuoa mwanamke mwenye mtoto KWA MSISITIZO na hata kama akikubali husema basi mtoto wako akae kwa bibi au baba ake sijui atawajibika
na mambo mengi hapo katikati
SASA SWALI NI JE KWANINI NYIE MNAONA SISI KUKAA NA WATOTO WENU NI RAHISI LAKINI NYINYI KUKAA NA WETU NI ISSUE tena kubwa sana????
Kiranga nimemuelewa hapa tunaongelea mwanamke mwenye mtoto before marriage na sio kwetu tu hata wao pia wanakuwa na watoto kabla.... Na ndio maana nikasema hapo swala ni upendo na kuchukuliana maisha yataenda...
Hii ya kwamba mwenye mtoto aolewe na mwenye mtoto sio solution masai dada