Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kwa nini wanaume hamtukubali na watoto

Kumpata mwenye bikra ni issue ni bora tuchukue hawa hawa ambao wamekimbia kilometer chache make aliyekwsha shusha engine ukisoma kilometer zake ni km laki 3 hivi ..ss mchkue uweke ndani km hajaanza kuchemsha mara kakata feni belt yaan kila siku garage.

kwahiyo huyo utakayemchukua atakaa azae.....mana akizaa tu kilometa zitasoma laki 3......

au huyo unayemchukua ambae anakwambia hajazaa una uwakika gani kama hajazaa......haujui siku hizi watu wanatoa mimba .....una uwakika gani hajatoa mimba.......suluhu la hili mchukue mwenye bikra tu......ila ambae hana unapigwa changa la macho.......
 
watu wengi hasa wanaume huwa lawama zote tatizo linapotokea lawama zote zinakuja kwa wanawake likini swali la kujiuliza hawa wanawake wanazalisha na kina nani?? kuoaa mwanamke alie zaa mie sioni kama ni tatizo maana toka mwanzo hiyo mila ilikuwepo ma kabila mengine waliita nyumba NTOBO kaama wewe hauzaii basi unaenda kuoaa mwanamke kwa mwanamke na huyo ndio atakaee kuzalia watoto na hao watakuwa wako. jamani mbona wakina mama wengi wetu tunakubali kuolewa ata kama mtu anawatoto kumi? ndoa ni maamuzi ya mtu biafsi na sio wote walio zaa wanafanya makukusudi wasiolewe na walio wapa izo mimba. uliza kila binti mwenye mtoto atakwambia nilikuwa naitaji niolewe na mwenye mtoto na mkaa muelewe hakuna mama anayependa mwanaye alelewe na baba tofauti ila inapobidi ndio hivyo. nakwamtazamo wangu mnaoosema hamuuitaji mabinti walio zaa ndio wakwanza kukataa mimba na kuwaambia mambiti za watu watoe na kutelekeza familia. Ndugu zangu mabadilko yaaanza na wewe badililika ukimpa mimba kubali majukumu na mtunze huyo binti
 
ukali wangu upo wapi.....? nimemshauri amchukue mwenye bikra.......au ushauri niliompa ni mbaya......

Naona unajifariji kwamba mwanamke asiye bikra ni sawa na mwanamke aliyezaa kabla hajaolewa. Jambo moja la msingi na ambalo ni ukweli ni kwamba; wanaume wengi hawapendi kuoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto aliyezaa na mwanaume mwingine, na hata kama itatokea ni mara chache sana kukuta ndoa yao inadumu.
 
Naona unajifariji kwamba mwanamke asiye bikra ni sawa na mwanamke aliyezaa kabla hajaolewa. Jambo moja la msingi na ambalo ni ukweli ni kwamba; wanaume wengi hawapendi kuoa mwanamke ambaye tayari ana mtoto aliyezaa na mwanaume mwingine, na hata kama itatokea ni mara chache sana kukuta ndoa yao inadumu.

hahaaaa.....nicheke mie kama mazuri.....sijifariji huo ni mtazamo wangu ni kama wew unavyoona ni heri kuoa ambaye hajazaa na hana bikra.......so hilo neno fariji toa.....tubaki kwenye mitazamo......
 
watu wengi hasa wanaume huwa lawama zote tatizo linapotokea lawama zote zinakuja kwa wanawake likini swali la kujiuliza hawa wanawake wanazalisha na kina nani?? kuoaa mwanamke alie zaa mie sioni kama ni tatizo maana toka mwanzo hiyo mila ilikuwepo ma kabila mengine waliita nyumba NTOBO kaama wewe hauzaii basi unaenda kuoaa mwanamke kwa mwanamke na huyo ndio atakaee kuzalia watoto na hao watakuwa wako. jamani mbona wakina mama wengi wetu tunakubali kuolewa ata kama mtu anawatoto kumi? ndoa ni maamuzi ya mtu biafsi na sio wote walio zaa wanafanya makukusudi wasiolewe na walio wapa izo mimba. uliza kila binti mwenye mtoto atakwambia nilikuwa naitaji niolewe na mwenye mtoto na mkaa muelewe hakuna mama anayependa mwanaye alelewe na baba tofauti ila inapobidi ndio hivyo. nakwamtazamo wangu mnaoosema hamuuitaji mabinti walio zaa ndio wakwanza kukataa mimba na kuwaambia mambiti za watu watoe na kutelekeza familia. Ndugu zangu mabadilko yaaanza na wewe badililika ukimpa mimba kubali majukumu na mtunze huyo binti

Kwanza unahitaji kujua anaeoa ni nani.....so unapoolewa wewe ndio inajisubmit kwa mume sio mume kwako....
Pili watoto kitamaduni zetu ni mali ya baba na ndio maana watoto wanachukua surname za upande wa baba.
So suala la wewe kukubali kulea watoto wa mumeo ni kwasababu pale ndio kwao,na wewe umewakuta tuu.....lakini mtoto wako pale sio kwao ana kwao,na huo ndo mwanzo wa tatizo..

Again kwangu mm mwanamke ambae anaweza olewa na mm na ana mtoto ni yule ambae bahati mbaya mumewe alifariki,ova.
Wewe kama umechakachua huko mpaka vi mimba viwili,katafute mwingine sio mm,call it ubinafsi fine.
 
Mambo ya tamaduni za Afrika hayo.

Mwanamke ni shamba na mazao ni watoto, hivyo ukitaka kuwa na mwanamke chagua ambaye hajazaa ili upate anayeweza kuzaa watoto wengi na watoto wenyewe wawe wako wa damu.

Afrika watoto ilikuwa ni kitegauchumi cha kufanya kazi za shamba/ ufugaji. Na mtoto wa mwanamme mwingine anaweza kukosa loyalty na kusababisha matatizo katika mtazamo huo.

Unyamwezini (USA) kwa mfano divorcee wengi wanaoana wote wakiwa na watoto in the so called "mixed family".

Wenzetu wanaoana, kwa hiyo wanaingia ndoani kama watu sawa.

Huko kwetu mwanamke anaolewa na mwanamme na kupangiwa maisha.

kwa hiyo solution
mwenye mtoto aoane na mwenye mtoto
 
Naomba nikupongeze sana sister kwa kulidadavua hili...at least wewe unaanza nishawishi.....
Wengine naona hawana hoja Bali wanatafta tu kujilinganisha na men...

Hili la kuoa bikra hili ngoja nilitafakari maana si la kujibu juu juu???

hatujilinganishi na men maana hatuwezi lingana nao
tunachojaribu kukiongea ni kwa nini hamkubali watoto wetu
jambo ambalo halimanishi ki nitakua juu
 
Unaponikataa na mtoto sawa unaweza ukawa na sababu zako...... Siwezi lazimisha..

Sasa kwanin nikukubalie wew uliye na mtoto wakati mimi umenikataa??? Sawa naweza nikakulubali sababu nimekupenda....swali ni je? Nitampenda huyo mwanao kwa moyo wote kama mwanangu niliyemzaa ( hapo ni mtihani wa wengi) wanawake tunaroho ngumu ni hatar visa, gubu, mateso vitamwandama mtoto...

Solution ni kwamba kuwepo hali ya kuchukuliana ( kukubali na kulidhika na kilichopo au ulichopangiwa) mkipendana hili swala la mtoto sio ishu mtaishi salama aman upendo utulivu vitatawala.... Hii itaondoa manung'uniko na maswali juu ya hawa watoto ambao huzaliwa kabla ya ndoa
 
usitukane mamba wakati haujavuka mto....

mourino alisema inakuwaje timu inafungwa magoli matano......jana kikawatoa timu ya chelsea.....pamoja na kocha mzuri na kikosi lakini kikafungwa magori matano....

nimekupa mfano huu utafakari .....

wapi chelseeeee......VITANO VYA MOTO
 
kumbeeee ndio maana watu wanatoa mimba hadi zifike 50.

anyway liwalo na liwe mwanangu simwachinyuma kisa mwanaume hampendi. mwanaume anaweza kukupenda leo kesho akakuchoka kisa kapata mwingine lakini mwanangu hata nikiwa nao 100 ntawapenda.

UNA TTCL
nataka nikurushie ttcl money
 
Unaponikataa na mtoto sawa unaweza ukawa na sababu zako...... Siwezi lazimisha..

Sasa kwanin nikukubalie wew uliye na mtoto wakati mimi umenikataa??? Sawa naweza nikakulubali sababu nimekupenda....swali ni je? Nitampenda huyo mwanao kwa moyo wote kama mwanangu niliyemzaa ( hapo ni mtihani wa wengi) wanawake tunaroho ngumu ni hatar visa, gubu, mateso vitamwandama mtoto...

Solution ni kwamba kuwepo hali ya kuchukuliana ( kukubali na kulidhika na kilichopo au ulichopangiwa) mkipendana hili swala la mtoto sio ishu mtaishi salama aman upendo utulivu vitatawala.... Hii itaondoa manung'uniko na maswali juu ya hawa watoto ambao huzaliwa kabla ya ndoa

Ukitaka kuwa unatembea barabarani huku unazungumza peke yako au unasonya kabisa chukua mwanamke mwenye mtoto..
 
Unaponikataa na mtoto sawa unaweza ukawa na sababu zako...... Siwezi lazimisha..

Sasa kwanin nikukubalie wew uliye na mtoto wakati mimi umenikataa??? Sawa naweza nikakulubali sababu nimekupenda....swali ni je? Nitampenda huyo mwanao kwa moyo wote kama mwanangu niliyemzaa ( hapo ni mtihani wa wengi) wanawake tunaroho ngumu ni hatar visa, gubu, mateso vitamwandama mtoto...

Solution ni kwamba kuwepo hali ya kuchukuliana ( kukubali na kulidhika na kilichopo au ulichopangiwa) mkipendana hili swala la mtoto sio ishu mtaishi salama aman upendo utulivu vitatawala.... Hii itaondoa manung'uniko na maswali juu ya hawa watoto ambao huzaliwa kabla ya ndoa

waone wenye watoto kama kiranga alivyosema
 
Back
Top Bottom