Wa nyamadyaki
JF-Expert Member
- Mar 6, 2013
- 1,178
- 529
hekima na busara za wanandoa ndizo zinazofanya ndoa hizo kudumu ama kutodumu.....lakini siyo status......kwamba huyu bikra...huyu kazaa nje....huyu kabila fulani......huyu mbaya......bali ni .....HEKIMA NA BUSARA....
hata mfalme Suleiman aliomba hekima sababu hekima ndiyo chanzo cha mambo mazuri katika maisha yoyote yale ya binadam........
Hizo busara na Hekima sio kwa mwanamke aliyekwisha zalishwa.