sir pierre
Senior Member
- May 11, 2013
- 148
- 47
Sio feri ni feli mkuu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
yani luga yake ya taifa inamshinda halafu anasema wenzake wameferi. Sijui kuferi ndio nini?
nadhani hukunielewa,namaana kwamba,kama anadai div 3 ni kufeli na div 5 atasemaje? Ndiyo msingi wa hoja yangu..
........jamaa kasema D 3 za o level cyi division 3 za o levelyeye kasema Div 3... hiyo 5 kwani imeanza kufanya kazi?
We mchaga huna akili kabisa. Kwa maada hii inaonekana hata div five ulipata kwa shida sana.Hivi mtu ukimaliza C B E utajiita msomi? Wakati una D 3 za olev umekomaa mpaka masters! Ndo maana product za c b e ni mbovu sana alafu wengi walioferi ndo wapo pale kwanini? Wasipelekwe wakasome kilimo?
ukitaka ma.la.Ya wapo C B E,I FM kweli kazi C b E hakuna div 1 au 2 wote ni div 4 na 3 zilizokufa kweli majanja
........jamaa kasema D 3 za o level cyi division 3 za o level
C B E watu wanasoma au ni sehemu ya kupoteza muda!wengi wanaenda pale baada ya kukata tamaa na elimu
C B E watu wanasoma au ni sehemu ya kupoteza muda!wengi wanaenda pale baada ya kukata tamaa na elimu
Msomi tunampima kwa uwezo wake wa kutumia ujuzi na maarifa aliopata shule katika kutekeleza shughuli zake za kila siku ikiwa pamoja na kukabiliana na changamoto mbalimbaliMsomi ni nani?
We mchaga huna akili kabisa. Kwa maada hii inaonekana hata div five ulipata kwa shida sana.