Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

Iyo ipo sana tena makusudi kabisa,wengine anakuletea makalio yake,usipo kuwa makini aibu,unashuka kwenye daladala alafu uko posta mzee umechomekea fresh ngoma iyo.

hapo ndio ukute umevaa sarawili ya kitambaa halafu kitu yako ndio ma inch kadhaa huko mbele, sipati picha teh teh.
 
kwa kweli wanaume ndiyo wanatabia ya kupenda kukaa nyuma ya wanawake kwenye daladala, lakini sijawahi sikia mwanamke anagusisha bega lake kwenye viungo vya uzazi vya wanaume kwenye daladala.

my sister Lisa, upo jamani, nimekumis je!
 
..teh tehh, bongo kisiwa cha ngono,na ngono zembe kama india...

Umepotea wewe! You are talking off point! You dont even know what you are talking about! Guess you need full blood picture Check up!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
hii topic ingawa ni mashudu yanaongelewa humu mie imenichekesha:nono::nono::nono:
 
Mmmh
si wote!

Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?
 
Hao n wale ambao wanataka kujua ukubwa alafu akasimulie wenzake ila kiukwel c o tabia nzuri,Na kama ikinitokea ivyo nita mchana liv
 
JF Bwana, mtu akikutana na ishu yake huko mtaani haraka sana anawahi JF kuja kuposti kwa kugeneralize kwa kila mtu.......mengine myamezee tu si kila kitu cha kupostiwa hapa.
 
hapo ndio ukute umevaa sarawili ya kitambaa halafu kitu yako ndio ma inch kadhaa huko mbele, sipati picha teh teh.

Ndio maana mimi kama sijabeba bahasha basi nina gazeti mkononi
 
sidhani kama huko sahihi huo ni mtazamo wako tu, kama ni hivyo unajuaje kwamba anajisogeza kama sio na wewe unafanya jitihada ya kugusana nae?
 
JF Bwana, mtu akikutana na ishu yake huko mtaani haraka sana anawahi JF kuja kuposti kwa kugeneralize kwa kila mtu.......mengine myamezee tu si kila kitu cha kupostiwa hapa.

Angalau leo nimeona pointi yako!
 
Umenikumbusha nilikaa siti moja na bint mmoja akaanza kusinzia mara mno wake akauweka kwenye goti, nikajua usingizi kadri safari ilivoendelea ule mkono ukazidi kusogea hakaribia na fraizi, mm pia ni lijali mara na mm mjongeo ukaanza sasa nikaona mm nazidi kuwa na hali mbaya nikajifanya kama najinyoosha akatoa akaniangalia usoni, nikajifanya nasinzia nayeye kasinzia papo hapo namkono kuuelekeza pale tena. Nilipo karibia kufika chalinze nikamwambia dada nakutakia safari njema huko dar, akanitazama usoni akaniomba namba ya sim nikampa, hadileo amekuwa ni rafiki yangu nimemtambulisha hata kwa mkewangu, hivh juzi aliongea na mkewangu kuja kutusalimia na hivi navoonge yupo. Je hawezi kuwa hatari kwa ndoa yetu maana sijui lengo lake,ila mrembo sana.ushauri
Huu mkuu ni umalaya wako tu wala hauhusiani na maada inayoongelewa kama unaona ni risk kwa ndoa yako mbna unaendelea kuwasiliana nae na unamsifia ni mrembo!!au ndo akili fupi inataka kuishawishi akili ndefu nn?


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
unajua huy mwenye uzi nadhan kaanza ck so nying kupanda hiece hvyo dont blame on him
 
Hivi kwa nini Mods wasithibiti threads ili asubuhi aruhusu threads za maana na jioni wakati watu akili zimechoka basi aruhusu thread kama hizi. Najisikia uchungu kuona mwana JF anaianza asubuhi kwa kujadili ngono najiuliza je ikifika jioni si atakuwa kwa machangudoa? Tutapataje maendeleo kama kuanzia asubuhi tunawaza ngono?

Kwani kipi kibaya kwenye thread hii? maana hapa ni uwanja wa mahusiano na mapenzi, ukiona uhitaji usisome nenda topic za siasa, maendeleo yanazuiwa kwa mapenzi? tuacheni sisi tulio na maendeleo tusome nyie ambao hamna maendeleo piteni tu, sisi ikifika jioni tunaenda zetu kazin kusoma hapa ni mpaka sa kumi na mbili asubuhi tena.
 
Back
Top Bottom