moto2012
JF-Expert Member
- Jul 3, 2012
- 2,306
- 1,536
Upo? Nimekumiss. Leo kwenye daladala lazma niguse mtu flies nione itakuwaje lol
Niende wapi Mshenga wangu King'asti?, JF ndo home nikiwa Jf na Preta wangu anashinda Jf mpaka anaunguza mboga, nikitaka kuwasalimia dada zangu FP , snowhite na Kipipi najua nitawakuta Jf, nikitaka kuwapa hi shemeji zangu Arushaone, Nicas Mtei, saudari, erickb 52 woote nawakuta Jf, hata wale watani wangu watu8, platozoom, BUCHANAGANDE, Mtambuzi na Bishanga wameacha kuchunga ng'ombe wanashinda Jf, kila kitu napata hapa! Ne niwuka lepi, nitama bahapa, nigendi gendiliii wee kufesibuku, sikayipee, vanabodi, vanamageuzi kwali, wyn, pa Jf ndi nihikili!