Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

Kwa nini wadada wanapenda sana hivi?

dah, umemchana hadi raha aisee
we nawe nikicheche tu utatoaje namba ya cm kwa mtu usiye mfahamu? (ungekuwa uko single ni sawa) tena unathubutu kumtambulisha kwa wife wako ili iweje au unataka wawe marafiki ili ule kiulaini? Acha uhuni wewe mueshimu mkeo!
 
Hahaa mimi daladala ikiwa imejaa sipandi
Usipoangalia utakauza hata hako kamkebe ..
Kwanini hupandi Mkuu? Huko ndiko tulikotoka hata Mh. J. Mnyika Hivi karibuni alikutwa ndani ya Daladala, sasa sijui ulikuwa anafanya utafiti huu huu au kulikuwa na suala lingine.
 
Ndio maana siye huku Unguja tukaamua kutumia Chai Maharage kuepuka hizo kadhia, hebu oneni tunavyokaa kistaarabu, ni kibega kwa kibega...

1-1230818400-dala-dala.jpg
Tena hiyo ndiyo mbaya maana unaweza ona mpaka maini yakheee.

Hivi karibuni nilikuwa Pemba, kutoka Bandarini pale mpaka Mkoani nilipanda hiyo kitu, sasa kuna kaka alikuwa amesahau kufunga zipu, kama unavyoelewa kama hujafunga halafu ukikaa ule uwazi ndiyo unajitanua, sitaki nikumalizie kilichotokea hapo kwani ndani alikuwa hana chochote.

Bora usimame kidogo ule uwazi wa suruali unajifunga Yakheeeeee.
 
panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?

bora hao kuna wengine akisimama basi anaegemea kiti ulichokalia na ------ anakuwekea wewe yeye bila kujali kuweni wastaarabu
 
wanapenda sana hako kamchezo,unashangaa mbona mrembo ananigusa na kifua chake
au ndio zali la mentali....kumbe anakuchora unavyohangaika

Umeona ee.. Wana tabia chagu sana baadhi yao .. Anakugusisha kwa kulazimisha ukisogea yupo .. Sasa sijui wana njaa ama wana nini.
 
Umeona ee.. Wana tabia chagu sana baadhi yao .. Anakugusisha kwa kulazimisha ukisogea yupo .. Sasa sijui wana njaa ama wana nini.

NAHISI WA HIVYO ATAKUWA NA GENYE ZAKUZIDI,BY THE WAY NAO NI WATU
THEY MISS THAT D**ck HEAD
 
Panda daladala halafu kosaa kiti simama pembeni ya mdada tena wa heshima.... Wakati safari inaendelea mdada atajitahidi sana bega lake likuguse kwenye zip yako... Sjui wanatafuta kuguswa na nini ukisogea nyuma atajifanya Kakausha anasubiri gari iwatingishe ajisogeze tena kwako....
Mna maana gani nawauliza ?
hapo kwenye red naomba ufafanuzi kidogo.., unamaanisha wanawake wote ni wafupi kiasi hichoo, yaan bega liguse kwenye zipu?
 
hapo kwenye red naomba ufafanuzi kidogo.., unamaanisha wanawake wote ni wafupi kiasi hichoo, yaan bega liguse kwenye zipu?
haina maana hiyo, anachosema ni kuwa mwanamke anakuwa amekaa kwenye siti wakati mwanaume kasimama
 
kwa kweli wanaume ndiyo wanatabia ya kupenda kukaa nyuma ya wanawake kwenye daladala, lakini sijawahi sikia mwanamke anagusisha bega lake kwenye viungo vya uzazi vya wanaume kwenye daladala.
 
Iyo ipo sana tena makusudi kabisa,wengine anakuletea makalio yake,usipo kuwa makini aibu,unashuka kwenye daladala alafu uko posta mzee umechomekea fresh ngoma iyo.
 
Iyo ipo sana tena makusudi kabisa,wengine anakuletea makalio yake,usipo kuwa makini aibu,unashuka kwenye daladala alafu uko posta mzee umechomekea fresh ngoma iyo.

hapo ndio ukute umevaa sarawili ya kitambaa, sipati picha teh teh.
 
Back
Top Bottom