Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Wengine waseme na wewe useme shosti
siku ile nlikuonesha kabisa bado huamini

anyway mateka karidhika na mie basi mie full shangwe
he is supa yummy, sijui alitengenezwa kwa mayonaise
he is decently delicious aisee

Akuu! Mi sina tabia ya kuchungulia watu! Hehehe, wanasema 'he looks yummy in his vulnerable state...' Akiwa kasinzia. Ila una jinsia mbili,nimekustukia aisee! Usije ukaharibu,lol
 
weeeee stop
mwanamme wa kisukuma na watoto wake wawe jogori?!!!
It will never happen
tena sababu ya mwanamke!?
Hata awe mweupe kama mbalamwezi
mtoto wa msukuma huwa ni msukuma tu
hata umpe limbwata atakuwa mwalu, misoji, masanja

wanaume wa kisukuma wana ego kubwa sana
always watoto ni wake na anawapa majina yeye
hata azae mtaani baada ya ndoa atawaleta wote hapo nyumbani

ila tunapenda wachaga na wameru sababu ya rangi afu huko kwenu wanatupabure hakuna mahari

huku usukumani dun mwanamke mweupe bila ng'ombe 30 simpati

kongosho gashi nang'ho uli wa kukaya.
 
Sasa kama hukutoa kufuli mi ningehakikishaje? Aah,haya banaa msalimie mateka!ila kwenye decency I hav my doubts hehehe. Muamshe apige supu akatafute hela manake ukicheza hupati vekesheni. Mjini utabaki alone,lol
Wengine waseme na wewe useme shosti
siku ile nlikuonesha kabisa bado huamini

anyway mateka karidhika na mie basi mie full shangwe
he is supa yummy, sijui alitengenezwa kwa mayonaise
he is decently delicious aisee
 
jamani watoto wa kichaga ni wazuri nikiwaonaga mate huwa yanachuruzika tu ila nasikia wakakudedisha ili wachukue mali
 
Nmh; kongosho l wish ningekupa majina ya hao couple (by the way u might be one of the couple l know. LOL)

Wasukuma wapole (though ni vitom.i) na hiyo hufsnya wanawake kuwapanda! I am married to one, na shemeji yangu (Mdogo wa mume wangu) kaoa mchaga!

Nyie wote mnajaribu kumsema chenge tu eti alijenga kwao alipostaafu na wakati anagombea ubunge bariadi
 
jamani watoto wa kichaga ni wazuri nikiwaonaga mate huwa yanachuruzika tu ila nasikia wakakudedisha ili wachukue mali

hapana kamanda, sema kuna wale wa .............................e, wao ndo specialist hii maneno wengine wako poa tu, tena wa siku hizi wanavaa hadi shanga na vikuu, utaenjoy sana ukipata mmoja. na ni waaminifu sana katika mapenzi tofauti na wazaramo wa kwa mtogole na kule kimanzi chana
 
mi binafsi nawapenda wasichana wa kisukuma. ni wazuri, wanavutia, hawana kashfa za kitamaduni. Mzazi wala hahoji kwa nini umeoa msukuma, ila wengine...!
Uko sahihi mkuu......Wasukuma na wana mvuto sana kwa sex
 
Back
Top Bottom