Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,134
- 159,017
Hivi kumbe kinyume cha ujanja ni upole eeeh!!!Wapole!
Mithed you!..
Mith you more darling.
Vipi mzee wa kiduku hajambo? Maana kama una ubia vile
Hivi kumbe kinyume cha ujanja ni upole eeeh!!!Wapole!
Mithed you!..
Hivi kumbe kinyume cha ujanja ni upole eeeh!!!
Mith you more darling.
Vipi mzee wa kiduku hajambo? Maana kama una ubia vile
Umechelewakudadadadadeki, kumbe Massawe ananiibia!!!!
Naenda kwa Ng'wizukulu wo Ng'wana Malundi
wakipenda wanapenda kweliyeuwi wasukuma wana wivu jamani
halafu wanapenda msambwanda
kama una msambwanda afu mweupe utaopoa wasukuma kama vibua...
ukiongeza na Titi hapo utaopoa wapemba mpaka uchoke
Hawanaga maneno wakina Malongowakipenda wanapenda kweli
Inaonyesha una msambwanda!!Hawanaga maneno wakina Malongo
Kuna dogo kachukua bonge la mtoto wa Kichaga. Mtoto ana heshima, kwao wanazo, halafu ni wifey material fulani hivi zile za ukiwa down ana ku lift up, ukizubaa zubaa katika kutafuta pesa anakuchangamsha.Nimefanya kautafiti wangu, nikagundua kuwa Wachaga wengi wanapenda kujichanganya na Wasukuma kuliko makabila mengine ya Tz, Wachaga wengi wameoa/wameolewa na Wasukuma na pia wanashirikiana nao kibiashara.
Baada ya kutafakari sababu.... nimepata majibu yafuatayo:-
1- Wasukuma Wengi wana mali na ni Matajiri
2-Wasukuma ni waaminifu sana.
3-Wachaga ni wajanja na wana mbinu nyingi kuliko Wasukuma kwa hiyo inakuwa rahisi kwa Mchaga kupata faida
Wana JF ningeomba pia na nyinyi mawazo yenu, na kama mna sababu zaidi ya hizo....
walaInaonyesha una msambwanda!!
Lita yeyuka hilo!!wala