sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,026
Kiukweli Nyerere si wa kumbeza licha ya yeye kuwa mwanadamu aliekosea mambo machache likiwemo hili la muungano mithiri ya tembo kuungana na sungura wawe wanakula sawa.
Kiukweli siasa za Africa ikiwemo Kenya tumeshuhudia zikiwa zinabebwa sana na ukabila ambapo kabila likiwa na idadi ya watu wengi basi hawa ndio wanakuwa na sehemu kubwa ya uongozi wa nchi unaowawezesha kupeana vyeo, kujiletea miradi ya maendeleo , n.k.
Nyerere kwa nafasi aliyokuwa nayo angeweza kabisa kuwateua watu wa kabila lake vyeo vikubwa, kupafanya alikotoka kuwe na maendeleo sana, n.k. lakini alijua kabisa angeafanya hivi hii ingezaa mbegu ya ukabila
Kwa hapa Tanzania kwa makabila yenye watu wengi kama wasukuma, wachaga na wanyakyusa, Kwa mfumo wa ukabila leo hii ndio wangekuwa wamweshikilia serikali lakini kwa system iliyokuwepo tunashukuru sana kwamba wamepigwa pini.
Wasukuma wapo wengi sana, sana, sana,,, lakini ukiangalia asilimia ya idadi yao yenye uwakilishi kwenye uongozi ni ndogo, Tunamshukuru mama anafanya kazi ya kuwapunguza wengi walioingizwa na kujaa sana awamu flani, wapungue pungue kwakweli.
Wachaga wapo wengi tu wa kutosha tena hawa wameamka sana kwenye uongozi mpaka wana vyama vyao lakini system imewapiga pini, ila hawa kwa kujiongeza kidogo wakaingia kwenye biashara huku ndiko kulikowafanya wawe kabila lililofanikiwa zaidi.
Wanyakyusa nao wapo wengi sana, Lakini system iliyopo imewabana vizuri sana na wao wasitumie wingi wao kushika vyeo vingi vya serikalini, uzuri wao hawa ni watiifu kwa hio ni rahisi kuwa controll sio kama wachaga na wasukuma, Mambo ya kushikilia power hawana sana,
Halafu uzuri ni kwamba Nyerere alihimiza kwamba Makabila madogo ndio yawe yanapewa vipaumbele kwenye vyeo vikubwa hasa katika uraisi, Tulijaribu kwenda kinyume chake kwa kujaribu kumweka Msukuma, Weee!! Sidhani kama kuna mtu atasahau maana tulishuhudia wasukuma wengi wakilamba nafasi za uongozi, Maraisi kutoka nchi ntingine wakawa wanatua usukumani kuonana na Raisi, Nyumbani kwa raisi ulijengwa uwanja wa ndege mkubwa, N.k.
Matunda ya Nyerer ndio yanayofanya Leo hii Mchaga, Mngoni, Mfipa, Mnyakyusa, Mbena, Msukuma, Mnyakyusa, n.k walingane kwenye level za uongozi.
Asante sana Baba wa Taifa
Kiukweli siasa za Africa ikiwemo Kenya tumeshuhudia zikiwa zinabebwa sana na ukabila ambapo kabila likiwa na idadi ya watu wengi basi hawa ndio wanakuwa na sehemu kubwa ya uongozi wa nchi unaowawezesha kupeana vyeo, kujiletea miradi ya maendeleo , n.k.
Nyerere kwa nafasi aliyokuwa nayo angeweza kabisa kuwateua watu wa kabila lake vyeo vikubwa, kupafanya alikotoka kuwe na maendeleo sana, n.k. lakini alijua kabisa angeafanya hivi hii ingezaa mbegu ya ukabila
Kwa hapa Tanzania kwa makabila yenye watu wengi kama wasukuma, wachaga na wanyakyusa, Kwa mfumo wa ukabila leo hii ndio wangekuwa wamweshikilia serikali lakini kwa system iliyokuwepo tunashukuru sana kwamba wamepigwa pini.
Wasukuma wapo wengi sana, sana, sana,,, lakini ukiangalia asilimia ya idadi yao yenye uwakilishi kwenye uongozi ni ndogo, Tunamshukuru mama anafanya kazi ya kuwapunguza wengi walioingizwa na kujaa sana awamu flani, wapungue pungue kwakweli.
Wachaga wapo wengi tu wa kutosha tena hawa wameamka sana kwenye uongozi mpaka wana vyama vyao lakini system imewapiga pini, ila hawa kwa kujiongeza kidogo wakaingia kwenye biashara huku ndiko kulikowafanya wawe kabila lililofanikiwa zaidi.
Wanyakyusa nao wapo wengi sana, Lakini system iliyopo imewabana vizuri sana na wao wasitumie wingi wao kushika vyeo vingi vya serikalini, uzuri wao hawa ni watiifu kwa hio ni rahisi kuwa controll sio kama wachaga na wasukuma, Mambo ya kushikilia power hawana sana,
Halafu uzuri ni kwamba Nyerere alihimiza kwamba Makabila madogo ndio yawe yanapewa vipaumbele kwenye vyeo vikubwa hasa katika uraisi, Tulijaribu kwenda kinyume chake kwa kujaribu kumweka Msukuma, Weee!! Sidhani kama kuna mtu atasahau maana tulishuhudia wasukuma wengi wakilamba nafasi za uongozi, Maraisi kutoka nchi ntingine wakawa wanatua usukumani kuonana na Raisi, Nyumbani kwa raisi ulijengwa uwanja wa ndege mkubwa, N.k.
Matunda ya Nyerer ndio yanayofanya Leo hii Mchaga, Mngoni, Mfipa, Mnyakyusa, Mbena, Msukuma, Mnyakyusa, n.k walingane kwenye level za uongozi.
Asante sana Baba wa Taifa