Kwa nini Wachaga Wanawapenda Wasukuma??

Nimefanya kautafiti wangu, nikagundua kuwa Wachaga wengi wanapenda kujichanganya na Wasukuma kuliko makabila mengine ya Tz, Wachaga wengi wameoa/wameolewa na Wasukuma na pia wanashirikiana nao kibiashara.
Baada ya kutafakari sababu.... nimepata majibu yafuatayo:-

1- Wasukuma Wengi wana mali na ni Matajiri
2-Wasukuma ni waaminifu sana.
3-Wachaga ni wajanja na wana mbinu nyingi kuliko Wasukuma kwa hiyo inakuwa rahisi kwa Mchaga kupata faida


Wana JF ningeomba pia na nyinyi mawazo yenu, na kama mna sababu zaidi ya hizo....

thread yii ngaikunda msolo!!
 
Ukitaka kula NGURUWE, chagua aliyenona.

Ndugu zangu Wasukuma, anzeni kutuiga sisi Wanyamwezi/Wadakama kwa kuowa Wazungu na Waarabu. Kama ngozi nyeupe, basi iwe Nyeupe.

Kama ni NOMA na iwe NOMA. Sasa Mchaga na M-Meru atanisaidia nini? Aniibie? Chukua Kitoto cha Kihindi hapo au Kichina.

Pia ninavyofahamu ni kuwa, pamoja na kuoleana, kuna UADUI mkubwa sana kati ya Wasukuma na Wachaga. Kuna kutokuelewana kukubwa kati ya Mwanza vs Moshi. Kama ulikuwa hujui, basi anza kufuatilia. Inawezekana ndiyo maana vijana wakiolea Uchagani, basi inabidi tu wahamie huko maana Usukumani wanakuwa wamevunja mwiko kama siyo UNGO.

Ahhh, mie nilijichukulia kitoto cha Kirangi na ninaishi nacho hapa Sikonge bila noma kabisa. Mwanzo nilitaka kuowa kibinti cha Kidenish kilichokuja kufanya kazi hapa Moravian Church hospital ila kikadai chenyewe kazi kwanza na maisha/mapenzi baadaye.

Vasukuma Vasukuma, mwatolilwe na Vachaga, hahahahaaaaa ......... Naja kwilima.
 
Nyamayao.

Nmh; kongosho l wish ningekupa majina ya hao couple (by the way u might be one of the couple l know. LOL)

Wasukuma wapole (though ni vitom.i) na hiyo hufsnya wanawake kuwapanda! I am married to one, na shemeji yangu (Mdogo wa mume wangu) kaoa mchaga!
 
Ukitaka kula NGURUWE, chagua aliyenona.

Ndugu zangu Wasukuma, anzeni kutuiga sisi Wanyamwezi/Wadakama kwa kuowa Wazungu na Waarabu. Kama ngozi nyeupe, basi iwe Nyeupe.

Kama ni NOMA na iwe NOMA. Sasa Mchaga na M-Meru atanisaidia nini? Aniibie? Chukua Kitoto cha Kihindi hapo au Kichina.

Pia ninavyofahamu ni kuwa, pamoja na kuoleana, kuna UADUI mkubwa sana kati ya Wasukuma na Wachaga. Kuna kutokuelewana kukubwa kati ya Mwanza vs Moshi. Kama ulikuwa hujui, basi anza kufuatilia. Inawezekana ndiyo maana vijana wakiolea Uchagani, basi inabidi tu wahamie huko maana Usukumani wanakuwa wamevunja mwiko kama siyo UNGO.

Ahhh, mie nilijichukulia kitoto cha Kirangi na ninaishi nacho hapa Sikonge bila noma kabisa. Mwanzo nilitaka kuowa kibinti cha Kidenish kilichokuja kufanya kazi hapa Moravian Church hospital ila kikadai chenyewe kazi kwanza na maisha/mapenzi baadaye.

Vasukuma Vasukuma, mwatolilwe na Vachaga, hahahahaaaaa ......... Naja kwilima.
Asante sana Sikonge......................umenipa darasa zuri sana
 
Back
Top Bottom