(coughing)mimi sikumbuki ilikuwa vipi but kuna article ya blue ray kuhusu jk
inaitwa kikwete na haiba isiyo na sababu
duhhhhhhh
niliposoma hiyo article nikajiunga siku hiyo hiyo
pia na daudi balali na scandals zake
Russian Roulette says thank you for the usefull post!Nilijiunga JF kwa sababu za kisiasa na mapenzi yangu kwa siasa,nakumbuka kuna mtu aliniuliza umeona thread fulani Jamii Forums,nikamuuliza ndo nini,akaniambia you are not serious kwamba hauko JF.....nikamjibu am serious.....basi akanielekeza nikajiunga lengo likiwa sana siasa.....!!
huh! niliposoma muelekeo wa jukwaa lile nikasema sihitaji stress zaidi ya nilizo nazo,manake kuna kitu kinasemwa unajua ukweli ni upi,ila unaposema ukweli unakuwa kama umechafua moods,nikagundua muelekeo wa jukwaa lile na kuona its impossible to do constructive politics...ni kubomoana tu A-Z.....
nikapata jukwaa la mapenzi,nimejifunza mengi,nimekuwa kiroho na nimepanua ufahamu wangu,zaidi najisikia kuwa useful.....nikapata marafiki wengi na maadui wachache,nikajifunza pia kuna watu mkitofautiana kwa PM,ni bifu kwa thread pia,nikajifunza kuna watu ukiwa friendly wana assume mengine...na namna ya kujadili issues na watu nisiowajua....its crazy but interesting.....!!! Naipenda JF kwa kuwa inanisaidia sehemu ya kazi kwa kunipa taarifa na muelekeo wa walio wengi....Asha,this is a very useful thread!!!
:lol: :lol: :lol:Zamani nilikuwa spendi siasa sana, ila naona kama JF inataka kuniloga sasa. Halafu lile jukwaa la wakubwa nilidhani kule ndio kulikuwa kwa ma great thinkers wenyewe. Nikawa najiuliza hivi kama watu wanakata issues namna hii kwenye majukwaa ya kawaida, kule lazima itakuwa balaa. Nilidhani kule ni exclusive kwa maprofesa, au watu wenye nafasi nyeti kwenye jamii. JF bwana!!
Kwa habari ya hapa na pale.... Inaonesha hicho kipindi ni wengi saana walivutiwa na kujiunga. Naona hapa inatakiwa tumshukuru bro kwa kuku expose mahala hapa na kukufanya utake uwe part of JF.... Nafurahi kua tuoko woote hapa and we are both members... Thank you for sharing... Vipi kakako bado ashiriki?
as i speak yumo humu,..yuko addicted,..ofisini hafungui excel kabla hajafungua jf..lol..
JF bwana!nishaanza kuhisi AshaDii ni USALAMA,..watu tuko paranoid humu..yani mtu anafanya karesearch kake watu tunaanza kumuogopa..no harm AshaDii,iam tryna speak my disturbed mind but little louder.
Care to introduce him to me.... I don't bite....lol
Usiogope bana.... Nikiwa usalama si ndo niko kukulinda you don't even have to be disturbed... Or maybe I don't get nini hasa kimekudisturb? :eyebrows:
may b u can pm me...disturbed?iam good now,..happens all the time,job stress like meeting deadlines,but it's all good in my hood..
Binafsi kuna jamaa alinipa hint za hii Forum sio zamani saana nadhani between 2010&2011 hasa kipindi cha uchaguzi!!!! Nikaregister nakaanza kuenjoy uhondo wa JF kama Member!!! TENA ARUSHA WAKALETA STAREHE NYINGINE YA KUFAHAMIANA, KUBADILISHANA MAWAZO LIVE NA KUSAIDIANA WEE ACHA TU JF CHIBOKO!!!!!!!! Ubarikiwe AshaDii!!!Mtumishi wetu.... Hii habari ya kufungiwa nishawahi isikia..... I can not imagine. Hata hivo nakubaliana na maneno yako... Ni kweli hapa kuna habari za kila namna ziwe kwenye archives ama ziwe katika updated news.... Ushindwe mwenyewe tu. Hata hivo mbona wewe personally hujagusia ni kitu gani hasa kilikusukuma? lol ....
Duh Mkuu DHW ulikuwa unatumia nick Gani? Dah Long time ile duh! mule tulikuwa tunatupiana news kutoka jambofourums na blog nyingi tu kule kulikuwa kama ni kituo cha matangazo, tatizo tulikuwa wavivu au hatukupenda kuregister...nakumbuka nilishawahi register ila sikumbuki nick niliyotumia manake nilikuwa bingwa wa kuchange nick! unachat hadi unaona hakuna raha zaidi ya ile live chat uchngu huja pale watu wakianza ku flood.. DHW ikalala Tukahamia Jambochat nayo ikandei sasa hii jamiiforums sielewi why hakuna jamiichat wala jamii music wala jamii radio! i don't know why! si jambo forum tulipata news imekuwa jamiiforums!Masikini Libabu la watu halikujua kwamba kufanya vile halijamchafua Maxence hata kidogo, badala yake amei-advertize JF Bureeeeee!
Natamani na wale MAPACHA WATATU wa magamba aka RAECEL nao watoe vesi lao. Hii italitangaza JF mpaka vijijini ili hata Babu yangu nikimpelekea Nokia kali aweze kutoa mauzoefu yake wa kule Lupata, Manow, Mpanda, Lwangwa n.k.
Honestly kwa mimi hakuna PUSH kubwa kama ya Asha D iliyosababisha niingie humu. Mi ni expert wa Telecommunication, na imetokea nimebobea sana ktk kazi za Software na IT tangu nilivyoanza kuipenda nilipokuwa form 4.
Mwanzoni nilipokuwa najifunza nilikuwa nakesha kabisa mtandaoni mpaka nasahau kabisa kula. Mwaka 2002 mobile companies hazikuwa internet providers kama sasa, so ikawa inanilazimu kwenda internet cafe. Nilikuwa nimejiunga na Social Networks kibao. Let me mention few:
Marafiki.com
Darhotwire.com (Hasa kwenye ile chat ya DHW CHAT ambayo ipo DHW CHAT | darhotwire)
Tagged.com
hi5.com
Badoo.com
Tuonane.com
Nikawa na Emails za Hotmail, Yahoo na Google
Kipindi hicho Facebook, twitter, JF zilikuwa bado kabisaaaaaaaaaaa
So nilijiunga JF mara ya kwanza Dec 2010 baada ya kuiona ktk google (sijui nilikuwa na-search nini ndo nikakuta nilichokuwa natafuta pia kipo JF). Baadae ndo nikaamua kufungua nyingine Jan 2011 kwa jina la CPU.
Na afrodenzi ndo alikuwa mrembo wa kwanza kunikaribisha humu, nilikuwa nimevaa mabuti ya kishamba, alinipenda nikampenda, tukapendana.
Nilikuwa simpendi Lizzy balaa, tangu nilivyoanza kumuona biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1
Habari wana JF woote na familia yoote ya MMU .
Nina exactly 46 days toka nisikie kuhusu Jamii Forums na 45 days toka nijiunge . Kila siku inapopita nafurahia na kuappreciate uamuzi wangu wa kuamua kujiunga katika JF na kua mmoja wa GT.. Nimepata marafiki wengi, Chat mates, PM mates, admirers na non admires, Knowledge katika kila sphere kama habari, urafiki, mapenzi, utani, elimu, sheria, siasa, entertainment e.t.c. And most importantly nimepata exposure kubwa saana in a lot of things .
Sababu kubwa ilinifanya kujiunga ni baada ya kusikia mmoja wa viongozi wetu akilalamika kua Jamii Forums ina chafua na kuharibu image ya serkali as well as Chama cha magamba . (Namshukuru Mungu kila siku kwa huyo Leader kuipromote mpaka nikasikia) Hio ilinipush ni google kutaka nijue ni kitu gani, then nikaenda moja kwa moja kwenye International forum ambapo nilikutana na thread ambayo nilitaka saana nichangie sababu nilikua against na mtu alokua ametuma hio Thread (in fact alikua Rutashubanyuma) who ironically turned out to be one of my friends sasa I had to register hapo hapo!
From that moment kila kitu kilifuata mkondo hadi when I found my home in MMU a week later Cha ajabu kilichonifanya nijiunge sio kinachonifanya nibaki saizi . Napenda every fun and activity I do while in JF, napenda watu behind the Avatars na above the Signatures, napenda the challenges I meet (ndo maana siasa hua nakimbia ), napenda kua watu wako huru kujiexpress regardless of age or gender, napenda kua kuna variety of topics and forums, Hio ikisukumwa na watu ninaowasiliana nao na kubadilishan mawazo katika uzi mbali mbali .
Naamini kila mmoja ana sababu tofauti ingawa nyingine zaweza fanana.. wewe kama member wa JF naomba mchango na mawazo yako ni kwanini au nani alikusukuma na kukushawishi uweze kua moja wa member wa JF ukitaka/kubali kua GT
Asha D.
Pamoja Sana.