CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Daaaah...
Hapa labda lara 1, Heaven on Earth, charminglady, King'asti, Madame B, Blaki Womani na wadau wengine waje kutoa yao ya moyoni
Mie naomba kuipinga hii hoja... Ila kwa mtizamo wangu tu!
Hii dhana ya kwanini hatukuonana zamani huwa inatamkwa wakati wa mwanzo mwanzo mahusiano! Wadau hebu fikiria yule aliyewahi kumkwambia / uliyewahi kumwambia neno hilo leo hii amekuwa adui, mzigo na kisirani mkubwa katika mahusiano yenu????
Naamini kila binadamu ana mapungufu, cha muhimu ni kujifunza kuchukuliana mapungufu yale ambayo yanachukulika.....
Last edited by a moderator: