Mkuu The Boss, all in all hii kauli uelekeza hisia kwenye USALITI na USALITI ni mbaya sana sana kwenye sekta ya mapenzimost of time hili swali ni la upande mmoja
sio lazima liwe two way street...
ni swali la kawaida mtu akikutana na mtu ambae anamuona
ni 'better' kuliko mkewe au mumewe...