'Kwa nini hatukuonana zamani'???

'Kwa nini hatukuonana zamani'???

unadhan kwa nn wanasayansi wako bize kuchunguza uwezekano wa kutravel back in times ni kwa issue kama izi.... unakutana na mdada wa ukweli c kawaida alafu anakukubalia vizuri tu ila ndo ivo tena home kuna mtu unaanza kujiuliza tu du kwa nn hatukujuana mapema!!!
 
unadhan kwa nn wanasayansi wako bize kuchunguza uwezekano wa kutravel back in times ni kwa issue kama izi.... unakutana na mdada wa ukweli c kawaida alafu anakukubalia vizuri tu ila ndo ivo tena home kuna mtu unaanza kujiuliza tu du kwa nn hatukujuana mapema!!!

Kweli mkuu lazima ujiulize kwa nini hatukujuana mapema...
 
changamoto za binandamu ukamilifu/kuridhika hadi mwisho wa maisha

Saa zingine nadhani kuridhika ni kujinyima...
Manake you meet a person kuwa naye huwezi kuachana naye unaona unajinyima..
Unabaki tu kujilaumu kwa kutoonana mapema
 
Lakini kuna wengine wanajutia kuonana na watu fulani hapo zamani, its natural
 
namaanisha "ulikuwa unatongoza/unatongozwa?"
 
Last edited by a moderator:
Inamaanisha ndoa ya bahati mbaya kama ilivyo mimba ya bahati mbaya!
 
hahhahaaaaa leo hii tukipiga kura utaona kila mtu ambaye ana ndoa (both sex) watajibu kuwa walikosea au wangetamani wawe na akina fulani na sio type ya mke/mume alienane!! Mambo ya vituko haya usisikie

Ukiniuliza mimi nitakwambia i made a right choice, no regret at all.

Tiba
 
leo nimekutana na binti kweny daladala,,,seem nice and kind kupitia maongezi yake,(na mrembo ofcoz),tatizo kumwomba namba,majitu yote yanakodoa macho....daah,sasa najuta ni bora ningeenda mpaka anaposhuka....

Hahaaaa,usitie shaka....milima haikutani binadam hukutana. Unaweza muona tena japo yaweza kua to late
 
kwenye JF nzima itakua ni mimi na wewe tu but the rest ni majanga....hili si la kupinga!!! Swali la uchokozi, who made a right choice? You or the Guy?? Ijumaa njema, usijibu wakasikia
Ukiniuliza mimi nitakwambia i made a right choice, no regret at all.

Tiba
 
Mi huwa najiuliza "kwanini hatukuachana zamani". Na sitaki mbadala! Naona wote mwisho ni kuzinguana tu!
 
Katika maisha ya kila siku mambo mengi yanayotokea na tunayofanya, hatuyafanyi au kututokea kama Coincidence, bali ni MIPANGO ya mwenyezi MUNGU na huwa na maana kubwa mno, ingawa sisi wenyewe kwa akili yetu ya kawaida hujikuta tukitumia muda mwingi mno kuyafikiria. Everything happen it happen with reasons!
 
Back
Top Bottom